TORRES: Happy to be Blue!

Welcome home El Nino (26) and David Luiz (23)

Uamuzi sahihi kwa muda muafaka.



Wajina wako katia timu. I can see us do some good run now sababu wachezaji wengine sasa watajituma zaidi maana watahofia kupoteza namba.
 
Kikombe cha sukari hakiwezi kubadilisha ladha ya maji ya bahari!
Hata sikio la kufa huwa halisiki dawa asilani!!..Ngoja tuone pimajoto ya blues usku wa leo!!
 
Another mercenary, leo anabusu beji na kusema anataka kumalizia career yake hapo kesho anaomba auzwe. Modern day football haina loyalty kama zamani.
Ila would be nice kama Liverpool watawafunga chelsea come sunday with Torres on the pitch heheheh!
 
Another mercenary, leo anabusu beji na kusema anataka kumalizia career yake hapo kesho anaomba auzwe. Modern day football haina loyalty kama zamani.
Ila would be nice kama Liverpool watawafunga chelsea come sunday with Torres on the pitch heheheh!



Would be nice kama atapiga hat-trick dhidi ya Loserfools!:laugh:
 
Another mercenary, leo anabusu beji na kusema anataka kumalizia career yake hapo kesho anaomba auzwe. Modern day football haina loyalty kama zamani.
Ila would be nice kama Liverpool watawafunga chelsea come sunday with Torres on the pitch heheheh!

Wishful thinking!
 
Mgonjwa kapata nafuu kidogo naona thread zinafunguliwa sasa ha ha ha.


Mmeenda kumnunua mgonjwa kwa milioni 50 kweli nyie mna hela ya kununua vikombe duuh.Signing ya Torres kwenu nafananisha na signing ya Aquilani liverpool kipindi kile.


kila la kheri wakuu na muendelee hivyo hivyo kutojua kwamba tatizo lenu halikuwa striker lol.



WENGER HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.
 

Mkuu umefikiria kwa kitumia kitu gani? I doubt kama ni brain.
 
Hata kama mtachukuwa mkocha wengne na wachezaji wengne lakn still ARSENAL IPO JUU yan mlishndwa kukaa juu lig kuu mnakuja kukurupuka kuvuta shuka wakat kumekucha polen Sana ila mbona kama nimeckia dilisha limefungwa leo na mmeshndwa kumchukuwa lakn still THE GUNNERS WAPO JUU NA UBINGWA WE2 MWAKA HUU
 

Hii ni kama Pumba vile! Wait coming May
 
Mazee nina ID kibao hapa! Natamani tucheze nanyi nione yule Gael Clinch atafanya nini kuzuia Chelsea

Tucheze mara ngapi unataka? lol labda uko mbeleni kwenye vikombe vingine kama tutakutana.


Torres hana uwezo wa kusumbua beki yangu.
 
Tucheze mara ngapi unataka? lol labda uko mbeleni kwenye vikombe vingine kama tutakutana.


Torres hana uwezo wa kusumbua beki yangu.

Comments zako zinafanana na usajili wenu mpya - MUREFU! mumemtoa Ufaransa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…