TOT ni mali ya CCM haipashwi kutumika kwenye hafla za kitaifa. Huku ni kutumia vibaya rasmali za Watanzania

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Nipo nyumbani kwenye luninga nafuatilia sherehe za kuzima mwenge huko Chato. Jambo la ajabu ni kuona bendi ya TOT ambayo ni mali ya CCM ikitumika ili hali ni sherehe ya kitaifa.

Kutumia kodi zetu kuwalipa Tot ili hali ni mali ya CCM ni kukosa busara za kisiasa. Abadani haya mambo yanatakiwa kuachwa kabisa.
 
Nimekuuliza unatenganishaje ccm na serikali kwa akili zako timamu hata ikiwa cdm au act uwezi kutenganisha hvyo vtu viwili kwani serikali inabendi ya muziki?
Kwa kuwa CCM inunda serikali ndo Tot imekuwa mali ya serikali? Tumia akili basi.
 
Acha ujinga kwani diamond angekuja kutummbuiza hapo yeye ni mali ya nani? Chuki zinawajaa hadi kupoteza akili. Tot ndio ni ya ccm na CCM si ndio chama tawala?

Sasa wakiitwa hapo kutoa burdani na viongozi wa ccm walioko madarakani unataka wasilipwe? Au umeona hawana kiwango?
Yaani una hoja ya kijinga hadi inakua tabu kukuonesha ulivyo na mtindo mbaya wa kufikiri.
 
Madhara ya kutumia makalio kufikiri na kujamba hovyo.
 

TOT kirefu chake ni, Tanzania One Theater​

 
CCM wanajifanyia vitu kama wanavyotaka ..... Hawawaheshimu Watatnzania. Especially, tangu 2015 ndiyo imekuwa kabisa.
 
Hayo yanahitaji utashi unaosimamiwa na Katiba. Tofauti na hapo tegemea makubwa zaidi!
 
Si biashara kama biashara ingine tu? Wangeweza hata kuwaita Twanga Pepeta. Si wangewalipa?
 
Chama Dollar


Samahani Lakini...........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…