Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Tot ni mali ya serikali?Sasa unatenganishaje ccm na serikali
Nimekuuliza unatenganishaje ccm na serikali kwa akili zako timamu hata ikiwa cdm au act uwezi kutenganisha hvyo vtu viwili kwani serikali inabendi ya muziki?Tot ni mali ya serikali?
Kwa kuwa CCM inunda serikali ndo Tot imekuwa mali ya serikali? Tumia akili basi.Nimekuuliza unatenganishaje ccm na serikali kwa akili zako timamu hata ikiwa cdm au act uwezi kutenganisha hvyo vtu viwili kwani serikali inabendi ya muziki?
Kwahiyo ulitaka wawatumie kina nani labda mzee baba?Kwa kuwa Ccm inunda serikali ndo Tot imekuwa mali ya serikali? Tumia akili basi.
Sikinde ngoma ya ukae.Kwahiyo ulitaka wawatumie kina nani labda mzee baba?
Hahaha sawaSikinde ngoma ya ukae.
Acha ujinga kwani diamond angekuja kutummbuiza hapo yeye ni mali ya nani? Chuki zinawajaa hadi kupoteza akili. Tot ndio ni ya ccm na CCM si ndio chama tawala?Nipo nyumbani kwenye luninga nafuatilia sherehe za kuzima mwenge huko Chato. Jambo la ajabu ni kuona bendi ya Tot ambayo ni mali ya Ccm ikitumika ili hali ni sherehe ya kitaifa.
Kutumia kodi zetu kuwalipa Tot ili hali ni mali ya CCM ni kukosa busara za kisiasa. Abadani haya mambo yanatakiwa kuachwa kabisa.
Madhara ya kutumia makalio kufikiri na kujamba hovyo.Acha ujinga kwani diamond angekuja kutummbuiza hapo yeye ni mali ya nani? Chuki zinawajaa hadi kupoteza akili. Tot ndio ni ya ccm na ccm si ndio chama tawala? Sasa wakiitwa hapo kutoa burdani na viongozi wa ccm walioko madarakani unataka wasilipwe? Au umeona hawana kiwango?
Yaani una hoja ya kijinga hadi inakua tabu kukuonesha ulivyo na mtindo mbaya wa kufikiri.
Huko ni kutuibia watanzania.Mgongano wa maslahi mkuu! Wanaitumia ili wajilipe wenyewe!
Nipo nyumbani kwenye luninga nafuatilia sherehe za kuzima mwenge huko Chato. Jambo la ajabu ni kuona bendi ya TOT ambayo ni mali ya CCM ikitumika ili hali ni sherehe ya kitaifa.
Kutumia kodi zetu kuwalipa Tot ili hali ni mali ya CCM ni kukosa busara za kisiasa. Abadani haya mambo yanatakiwa kuachwa kabisa.
CCM wanajifanyia vitu kama wanavyotaka ..... Hawawaheshimu Watatnzania. Especially, tangu 2015 ndiyo imekuwa kabisa.Nipo nyumbani kwenye luninga nafuatilia sherehe za kuzima mwenge huko Chato. Jambo la ajabu ni kuona bendi ya TOT ambayo ni mali ya CCM ikitumika ili hali ni sherehe ya kitaifa.
Kutumia kodi zetu kuwalipa Tot ili hali ni mali ya CCM ni kukosa busara za kisiasa. Abadani haya mambo yanatakiwa kuachwa kabisa.
Si biashara kama biashara ingine tu? Wangeweza hata kuwaita Twanga Pepeta. Si wangewalipa?Nipo nyumbani kwenye luninga nafuatilia sherehe za kuzima mwenge huko Chato. Jambo la ajabu ni kuona bendi ya TOT ambayo ni mali ya CCM ikitumika ili hali ni sherehe ya kitaifa.
Kutumia kodi zetu kuwalipa Tot ili hali ni mali ya CCM ni kukosa busara za kisiasa. Abadani haya mambo yanatakiwa kuachwa kabisa.
Tumia akili we mbwa kokoSi biashara kama biashara ingine tu? Wangeweza hata kuwaita Twanga Pepeta. Si wangewalipa?
kwan ccm sio watanzania mdogo wangu?Huko ni kutuibia watanzania.