Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
π π πHongera kwako ndugu Paskali, baada ya kukosa teuzi kadhaa sasa umegeuka kuwa msemaji wa kampuni ya mafuta ya TOTAl.
Kongole kwako
sakata gani hilo?"" Rais wetu mama samia asipolichukulia hatua sakata la wizara ya fedha,litaharibu image ya rais wetu""
Umeniwahi boss,hapo nahisi kuna miaka 10 ya kujaribu biashara afu ndio wa kodiJe, kwa mabadiliko hayo kuna athari zozote kwenye mapato yetu ya kodi?
Je, kampuni ya zamani ilikuwa na madeni ya kodi za zamani iliyo kuwa inadaiwa?
Maana siku za nyuma tulizoea kusikia kuwa njia moja wapo ya kukwepa kodi inayo daiwa kampuni ni kubadili jina la kampuni, sina hakika kama mchezo huo bado unaendelea.
Kwenye mabadiliko ya jina hakuna athari yoyote kiuchumi kwenye mapato na kodi, kila kitu ni kile kile na vile vile isipokukuwa jina tuu ndio linabadilika.Je, kwa mabadiliko hayo kuna athari zozote kwenye mapato yetu ya kodi?
Je, kampuni ya zamani ilikuwa na madeni ya kodi za zamani iliyo kuwa inadaiwa?
Maana siku za nyuma tulizoea kusikia kuwa njia moja wapo ya kukwepa kodi inayo daiwa kampuni ni kubadili jina la kampuni, sina hakika kama mchezo huo bado unaendelea.