TotalEnergies Tanzania Yafanya Makubwa on CSR,Makampuni Mengine Yaige!Mnaonaje CSR Isiwe Hisani, Bali iwe ni Wajibu?

TotalEnergies Tanzania Yafanya Makubwa on CSR,Makampuni Mengine Yaige!Mnaonaje CSR Isiwe Hisani, Bali iwe ni Wajibu?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi
Makala yangu kwenye Nipashe ya leo
1730010839135.png

Anachofanya Rais Samia na serikali yake, kutenga asilimia fulani ya fedha za kila halmashauri, na kuzitoa kama mkopo nafuu usio na riba kwa wikundi vya wanawake, vijana na wenye ulemavu, kinapaswa kuungwa mkono na makampuni yote yanayofanya biashara Tanzania, kupitia sera zao za kurejesha kwa jamii, CSR, ifike wakati sasa CSR isiwe ni hisani, au huruma bali iwe ni wajibu.

Mikopo ya wanawake vijana na wenye ulemavu, imepachikwa jina la Mikopo ya Mama Samia, ina lengo la kuwajengea uwezo kwa kuwapatia mikopo ya mitaji. Sera za CSR za makampuni kurejesha kwa jamii ni hisani, inapaswa itungiwe muongozo ili isiendelee kuwa ni hisani, bali iwe ni wajibu.

Juzi kati, nilikuwa mjini Geita, kwenye maonyesho ya rasilimali za madini Geita, mgodi wa GGM, umechangia shilingi milioni 200, kufanikisha maonyesho hayo, ukiangalia hizi milioni 200, zimefanyia nini, unaweza usiamini, sehemu kubwa zimetumika kwa posho, na kugharimia vyakula, vinywaji na vitafunwa, kwa jina jingine ni zimeishia tumboni street!

Serikali yetu ifike hatua hizi CSR, zisiwe ni hisani, na kufanyia chochote tuu hata kama fedha zote zitaishia tumboni street. Hebu fikiria hiyo milioni 200 ya GGM kama ingenunua madawati au vitanda mahospitalini, wapi ingekuwa na faida zaidi?.

Juzi Ijumaa nimehudhuria tukio la utoaji tunzo kwa washindi wa shindano la VIA Creative International nchini Tanzania, ambapo, sio tuu nimeguswa na kilichofanyika, bali ningetamani kama makampuni yote yanayofanya biashara Tanzania, yatarudisha kwa jamii kitu cha kuoekanika na cha kudumu ambacho kitaacha alama. Kama makampuni yote yangefanya kama TotalEnergy, tungekuwa mbali!

Hawa TotalEnergies, CSR yao, wanatoa fursa kwa jamii husika kujitathmini changamoto zao, kisha ndipo inajibu kwa kuzitekeleza hizo changamoto.

Nikatamani kama makampuni yote nchini yanayofanya biashara, yangefanya kama kinachofanywa na TotalEnergies Marketing Tanzania, kwenye CSR yake. Unakwenda kwa jamii na kuuliza changamoto zao, na kuzipatia ufumbuzi. Enzi za JPM, aliwahi kufuta hafla ya Mchapalo wa Bunge jipya na kuelekeza fedha zinunue vitanda hospitalini. Akafuta paredi ya uhuru, fedha zikakarabati barabara ya Moroco –Mwenge.

TotalEnergy Tanzania imeandaa shindano na shule iliyoshinda, Ubungo Makuburi, itapatiwa sio tuu zawadi, bali changamoto kuu ya shule yao, itajibiwa kwa kujengewa ukuta kuizunguka shule hiyo.

Shindano hilo la kimataifa la "VIA CREATIVE" ni shindano linalolenga wanafunzi wa shule za msingi wa miaka 4 -19 kwa lengo la kuwapatia elimu ya usalama barabarani kwa njia ya sanaa ya michoro, muziki, maigizo na mashairi na kisha kuwapa fursa wanafunzi hao kuelezea uleewa wao na mapendekezo yao ya usalama barabarani kwa njia ya michoro na maigizo.

VIA Creative ni mradi ulioanza mwaka 2022 ambao tangu mwaka huo zaidi ya wanafunzi 22,000 wamefikiwa na mradi huu na kuweza kujenga klabu za mabolozi wa usalama barabarani kwenye shule 100 jijini Dar es Salaam na Bagamoyo. Mwaka huu mradi huu wa VIA Creative umewafikia wanafunzi 6000 kutoka shule za msingi Makuburi, Ubungo NHC, Buza, Jangwani, Ugindoni na Uzuri zilizopo jijini Dar es salaam na kuendeleza uundaji wa klabu za mabalozi wa usalama barabarani.

Hafla ya kukabidhi tunzo kwa wanafunzi walioshinda kwenye msimu huu wa tatu wa VIA Creative ilifanyika kwenye ofisi za TotalEnegies Marketing Tanzania Limited jijini Dar es Salaam ambapo shule ya msingi ya Makuburi Primary school iliibuka mshindi wa kitaifa wa shindano lwa shindano hili na muwakilishi wa Tanzania kwenye ngazi ya kimataifa munamo mwezi Novemba 2024. Aidha shule hiyo pia itazawadiwa kwa kutimiziwa mapendekezo ambayo wanafunzi waliyaomba kwaajili ya kuboresha usalama wao barabarani kwa kupitia programu hii ya VIA Creative.

Akiongea kwenye ghafla hiyo, mkurugenzi mkuu wa TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, Mamadou Ngom alisema, “Tunayo furaha kubwa kuwa hapa leo tukusherehekea mafanikio ya mabalozi wetu wa usalama barabarani kupitia mradi wa VIA Creative amabo tumeshirikiana na Nafasi Art Space ambao wamekuwa wakiwapatia wanafunzi hawa elimu ya usalama barabarani kwa kupitia sanaa. Kupitia mradi huu tumeweza kuunda klabu za mabalozi barabarani 120, 20 kutoka kwenye kila shula. Pia wanafunzi hawa wameweza kutoa mapendekezo yao ya jinsi ambavyo usalama wao wa barabara unaweza kuboreshwa nasi tutatekeleza mapendekezo hayo kwa shule ya msingi ya Makuburi ambao ndio washindi wa kitaifa wa shindano hili kwa mwaka 2024.”

Mgeni rasmi, mkuu wa Idara ya Mafunzo ya Trafiki Kinondoni, A.S.P Rose Bernard Maira aliwapongeza TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, TotalEnergies Foundation Pamoja na Nafasi Art Space akisema, “Nawapongeze washika dau waliowezesha mradi huu wa VIA Creative, yani TotalEnergies Foundation, TotalEnergies Marketing Tanzania Limited Pamoja na Nafasi Art Space, juhudi zenu na mafanikio yenu katika kutoa elimu ya usalama barabarani zinastahili kupongezwa na kuigwa na makumpuni mengine ili kuchochea usalama wa Watoto wetu waendapo na watokapo mashuleni.

Aidha aliongeza kuwa “Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani tupo Pamoja nanyi kwenye jambo hili na katika kutoa elimu ya usalama barabarani pamoja na kuzijua sheria, kanuni na taratibu za barabarani kwa wanafunzi na watumia Barabara wote. Aidha, tumefurahia kujua kwamba mradi huu pia unalengo la kutimiza mapendekezo ya kuboresha hali ya usalama kwa wanafunzi wa shule iliyoshinda kama trulivyopata kuona kwenye filamu ya wanafunzi hao. Pia niwatakie kila la heri washindi hawa kwenye hatua nyingine ya shindano ambalo wanatarajia kuingia, nawasihi muiwakilishe Tanzania vizuri na mungae Pamoja na kushinda ngazi za shindano la VIA Creative zijazo.”

TotalEnergies ameonyesha njia, wengine wafuate, CSR isiwe ni hiyari, huruma au hisani, iwe ni wajibu!.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
 
Hiyo hela itasaidia katika mzunguko wa pesa mitaani na imerudi katika jamii kwa njia hiyo ya kununua na kuwaungisha wana jamii na wafanyabiashara wa hapo hapo mitaani.ndio uchumi unavyofanya kazi na kunawiri.Mdau Mwingine naye atafanya kazi nyingine kama hiyo unayotaka ya kununua madawati au kuchangia ujenzi wa zahanati n.k.
 
Wanabodi
Makala yangu kwenye Nipashe ya leo
View attachment 3136252
Anachofanya Rais Samia na serikali yake, kutenga asilimia fulani ya fedha za kila halmashauri, na kuzitoa kama mkopo nafuu usio na riba kwa wikundi vya wanawake, vijana na wenye ulemavu, kinapaswa kuungwa mkono na makampuni yote yanayofanya biashara Tanzania, kupitia sera zao za kurejesha kwa jamii, CSR, ifike wakati sasa CSR isiwe ni hisani, au huruma bali iwe ni wajibu.

Mikopo ya wanawake vijana na wenye ulemavu, imepachikwa jina la Mikopo ya Mama Samia, ina lengo la kuwajengea uwezo kwa kuwapatia mikopo ya mitaji. Sera za CSR za makampuni kurejesha kwa jamii ni hisani, inapaswa itungiwe muongozo ili isiendelee kuwa ni hisani, bali iwe ni wajibu.

Juzi kati, nilikuwa mjini Geita, kwenye maonyesho ya rasilimali za madini Geita, mgodi wa GGM, umechangia shilingi milioni 200, kufanikisha maonyesho hayo, ukiangalia hizi milioni 200, zimefanyia nini, unaweza usiamini, sehemu kubwa zimetumika kwa posho, na kugharimia vyakula, vinywaji na vitafunwa, kwa jina jingine ni zimeishia tumboni street!

Serikali yetu ifike hatua hizi CSR, zisiwe ni hisani, na kufanyia chochote tuu hata kama fedha zote zitaishia tumboni street. Hebu fikiria hiyo milioni 200 ya GGM kama ingenunua madawati au vitanda mahospitalini, wapi ingekuwa na faida zaidi?.

Juzi Ijumaa nimehudhuria tukio la utoaji tunzo kwa washindi wa shindano la VIA Creative International nchini Tanzania, ambapo, sio tuu nimeguswa na kilichofanyika, bali ningetamani kama makampuni yote yanayofanya biashara Tanzania, yatarudisha kwa jamii kitu cha kuoekanika na cha kudumu ambacho kitaacha alama. Kama makampuni yote yangefanya kama TotalEnergy, tungekuwa mbali!

Nikatamani kama makampuni yote nchini yanayofanya biashara, yangefanya kama kinachofanywa na TotalEnergies Marketing Tanzania, kwenye CSR yake. Unakwenda kwa jamii na kuuliza changamoto zao, na kuzipatia ufumbuzi. Enzi za JPM, aliwahi kufuta hafla ya Mchapalo wa Bunge jipya na kuelekeza fedha zinunue vitanda hospitalini. Akafuta paredi ya uhuru, fedha zikakarabati barabara ya Moroco –Mwenge.


TotalEnergy Tanzania imeandaa shindano na shule iliyoshinda, Ubungo Makuburi, itapatiwa sio tuu zawadi, bali changamoto kuu ya shule yao, itajibiwa kwa kujengewa ukuta kuizunguka shule hiyo.

Shindano hilo la kimataifa la "VIA CREATIVE" ni shindano linalolenga wanafunzi wa shule za msingi wa miaka 4 -19 kwa lengo la kuwapatia elimu ya usalama barabarani kwa njia ya sanaa ya michoro, muziki, maigizo na mashairi na kisha kuwapa fursa wanafunzi hao kuelezea uleewa wao na mapendekezo yao ya usalama barabarani kwa njia ya michoro na maigizo.

VIA Creative ni mradi ulioanza mwaka 2022 ambao tangu mwaka huo zaidi ya wanafunzi 22,000 wamefikiwa na mradi huu na kuweza kujenga klabu za mabolozi wa usalama barabarani kwenye shule 100 jijini Dar es Salaam na Bagamoyo. Mwaka huu mradi huu wa VIA Creative umewafikia wanafunzi 6000 kutoka shule za msingi Makuburi, Ubungo NHC, Buza, Jangwani, Ugindoni na Uzuri zilizopo jijini Dar es salaam na kuendeleza uundaji wa klabu za mabalozi wa usalama barabarani.

Hafla ya kukabidhi tunzo kwa wanafunzi walioshinda kwenye msimu huu wa tatu wa VIA Creative ilifanyika kwenye ofisi za TotalEnegies Marketing Tanzania Limited jijini Dar es Salaam ambapo shule ya msingi ya Makuburi Primary school iliibuka mshindi wa kitaifa wa shindano lwa shindano hili na muwakilishi wa Tanzania kwenye ngazi ya kimataifa munamo mwezi Novemba 2024. Aidha shule hiyo pia itazawadiwa kwa kutimiziwa mapendekezo ambayo wanafunzi waliyaomba kwaajili ya kuboresha usalama wao barabarani kwa kupitia programu hii ya VIA Creative.

Akiongea kwenye ghafla hiyo, mkurugenzi mkuu wa TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, Mamadou Ngom alisema, “Tunayo furaha kubwa kuwa hapa leo tukusherehekea mafanikio ya mabalozi wetu wa usalama barabarani kupitia mradi wa VIA Creative amabo tumeshirikiana na Nafasi Art Space ambao wamekuwa wakiwapatia wanafunzi hawa elimu ya usalama barabarani kwa kupitia sanaa. Kupitia mradi huu tumeweza kuunda klabu za mabalozi barabarani 120, 20 kutoka kwenye kila shula. Pia wanafunzi hawa wameweza kutoa mapendekezo yao ya jinsi ambavyo usalama wao wa barabara unaweza kuboreshwa nasi tutatekeleza mapendekezo hayo kwa shule ya msingi ya Makuburi ambao ndio washindi wa kitaifa wa shindano hili kwa mwaka 2024.”

Mgeni rasmi, mkuu wa Idara ya Mafunzo ya Trafiki Kinondoni, A.S.P Rose Bernard Maira aliwapongeza TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, TotalEnergies Foundation Pamoja na Nafasi Art Space akisema, “Nawapongeze washika dau waliowezesha mradi huu wa VIA Creative, yani TotalEnergies Foundation, TotalEnergies Marketing Tanzania Limited Pamoja na Nafasi Art Space, juhudi zenu na mafanikio yenu katika kutoa elimu ya usalama barabarani zinastahili kupongezwa na kuigwa na makumpuni mengine ili kuchochea usalama wa Watoto wetu waendapo na watokapo mashuleni.

Aidha aliongeza kuwa “Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani tupo Pamoja nanyi kwenye jambo hili na katika kutoa elimu ya usalama barabarani pamoja na kuzijua sheria, kanuni na taratibu za barabarani kwa wanafunzi na watumia Barabara wote. Aidha, tumefurahia kujua kwamba mradi huu pia unalengo la kutimiza mapendekezo ya kuboresha hali ya usalama kwa wanafunzi wa shule iliyoshinda kama trulivyopata kuona kwenye filamu ya wanafunzi hao. Pia niwatakie kila la heri washindi hawa kwenye hatua nyingine ya shindano ambalo wanatarajia kuingia, nawasihi muiwakilishe Tanzania vizuri na mungae Pamoja na kushinda ngazi za shindano la VIA Creative zijazo.”

TotalEnergies ameonyesha njia, wengine wafuate, CSR isiwe ni hiyari, huruma au hisani, iwe ni wajibu!.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Hii sio makala ni PR.

Hivi Paskali unawezaje kuandika makala nyingi hivi kila siku yani muda wa kuandika unaupanga vipi?

Mimi nna kipaji cha kuandika ila makala moja naweza andika wiki nzima
 
Hii sio makala ni PR.
Kinacho determine kama ni makala ni news story is the contents, nani kakuambia PR sio makala. Kuna makala za kila kitu, kila issues na kila jambo.
Hivi Paskali unawezaje kuandika makala nyingi hivi kila siku yani muda wa kuandika unaupanga vipi?
Mimi nna kipaji cha kuandika ila makala moja naweza andika wiki nzima
It depends na contents za makala zako, kama unaandika deep things you need ample time to dig and grasp, mimi naandika makala za simple things za everyday life, za people and events, needs just to attend, write na kutuma, I needs some few minutes to compose, natoa, natoa makala mbili every week. Kila Jumapili naandikia gazeti
la Nipashe na kila Jumatano, gazeti la Mwananchi, Watanzania hawapendi kusoma deep things, wanapenda simple things kama hivi.

Nilijitolea kufundisha watu humu kuhusu katiba sheria na haki, thread ina zaidi ya mwaka na haijafika hata posts 20!. Thread 'Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni nini, ya nani, ya kazi gani? Msemo "Katiba ndio kila kitu" Una maana gani? Katiba ina umuhimu gani?' Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni nini, ya nani, ya kazi gani? Msemo "Katiba ndio kila kitu" Una maana gani? Katiba ina umuhimu gani?
P
 
Kinacho determine kama ni makala ni news story is the contents, nani kakuambia PR sio makala. Kuna makala za kila kitu, kila issues na kila jambo.

It depends na contents za makala zako, kama unaandika deep things you need ample time to dig and grasp, mimi naandika makala za simple things za everyday life, za people and events, needs just to attend, write na kutuma, I needs some few minutes to compose, natoa, natoa makala mbili every week. Kila Jumapili naandikia gazeti
la Nipashe na kila Jumatano, gazeti la Mwananchi, Watanzania hawapendi kusoma deep things, wanapenda simple things kama hivi.

Nilijitolea kufundisha watu humu kuhusu katiba sheria na haki, thread ina zaidi ya mwaka na haijafika hata posts 20!. Thread 'Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni nini, ya nani, ya kazi gani? Msemo "Katiba ndio kila kitu" Una maana gani? Katiba ina umuhimu gani?' Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni nini, ya nani, ya kazi gani? Msemo "Katiba ndio kila kitu" Una maana gani? Katiba ina umuhimu gani?
P
Shukrani sana nimejifunza kitu.
 
Nqfikiri shida hapo sio makampuni wala hisani ni ubunifu fyongo wa idara za Community relations za makampunj husika. Wahusika ninwatanzania ambao wanapaswa kuwa na upeo mkubwa wa kuona mbali na kubuni miradi ambayo tija yake inaonekana.

Ila Kwa GGM niliwahi kupita vijijini kabisa tena mbali kabisa na mgoti karibu na Mgodi wa Bulyanhulu kote kule madawati ni KWA HISANAI YA GGM.
Wanafanya vizuri ila wanapaswa kufanya vizuri zaidi. Sidhani kama kuna muongozo unaowafunga watanzania wanaohusika na ubunifu wa hizo CSR.

Ni hayo tu
Mtumishi Matunduizi
 
Wanabodi
Makala yangu kwenye Nipashe ya leo
View attachment 3136252
Anachofanya Rais Samia na serikali yake, kutenga asilimia fulani ya fedha za kila halmashauri, na kuzitoa kama mkopo nafuu usio na riba kwa wikundi vya wanawake, vijana na wenye ulemavu, kinapaswa kuungwa mkono na makampuni yote yanayofanya biashara Tanzania, kupitia sera zao za kurejesha kwa jamii, CSR, ifike wakati sasa CSR isiwe ni hisani, au huruma bali iwe ni wajibu.

Mikopo ya wanawake vijana na wenye ulemavu, imepachikwa jina la Mikopo ya Mama Samia, ina lengo la kuwajengea uwezo kwa kuwapatia mikopo ya mitaji. Sera za CSR za makampuni kurejesha kwa jamii ni hisani, inapaswa itungiwe muongozo ili isiendelee kuwa ni hisani, bali iwe ni wajibu.

Juzi kati, nilikuwa mjini Geita, kwenye maonyesho ya rasilimali za madini Geita, mgodi wa GGM, umechangia shilingi milioni 200, kufanikisha maonyesho hayo, ukiangalia hizi milioni 200, zimefanyia nini, unaweza usiamini, sehemu kubwa zimetumika kwa posho, na kugharimia vyakula, vinywaji na vitafunwa, kwa jina jingine ni zimeishia tumboni street!

Serikali yetu ifike hatua hizi CSR, zisiwe ni hisani, na kufanyia chochote tuu hata kama fedha zote zitaishia tumboni street. Hebu fikiria hiyo milioni 200 ya GGM kama ingenunua madawati au vitanda mahospitalini, wapi ingekuwa na faida zaidi?.

Juzi Ijumaa nimehudhuria tukio la utoaji tunzo kwa washindi wa shindano la VIA Creative International nchini Tanzania, ambapo, sio tuu nimeguswa na kilichofanyika, bali ningetamani kama makampuni yote yanayofanya biashara Tanzania, yatarudisha kwa jamii kitu cha kuoekanika na cha kudumu ambacho kitaacha alama. Kama makampuni yote yangefanya kama TotalEnergy, tungekuwa mbali!

Hawa TotalEnergies, CSR yao, wanatoa fursa kwa jamii husika kujitathmini changamoto zao, kisha ndipo inajibu kwa kuzitekeleza hizo changamoto.

Nikatamani kama makampuni yote nchini yanayofanya biashara, yangefanya kama kinachofanywa na TotalEnergies Marketing Tanzania, kwenye CSR yake. Unakwenda kwa jamii na kuuliza changamoto zao, na kuzipatia ufumbuzi. Enzi za JPM, aliwahi kufuta hafla ya Mchapalo wa Bunge jipya na kuelekeza fedha zinunue vitanda hospitalini. Akafuta paredi ya uhuru, fedha zikakarabati barabara ya Moroco –Mwenge.

TotalEnergy Tanzania imeandaa shindano na shule iliyoshinda, Ubungo Makuburi, itapatiwa sio tuu zawadi, bali changamoto kuu ya shule yao, itajibiwa kwa kujengewa ukuta kuizunguka shule hiyo.

Shindano hilo la kimataifa la "VIA CREATIVE" ni shindano linalolenga wanafunzi wa shule za msingi wa miaka 4 -19 kwa lengo la kuwapatia elimu ya usalama barabarani kwa njia ya sanaa ya michoro, muziki, maigizo na mashairi na kisha kuwapa fursa wanafunzi hao kuelezea uleewa wao na mapendekezo yao ya usalama barabarani kwa njia ya michoro na maigizo.

VIA Creative ni mradi ulioanza mwaka 2022 ambao tangu mwaka huo zaidi ya wanafunzi 22,000 wamefikiwa na mradi huu na kuweza kujenga klabu za mabolozi wa usalama barabarani kwenye shule 100 jijini Dar es Salaam na Bagamoyo. Mwaka huu mradi huu wa VIA Creative umewafikia wanafunzi 6000 kutoka shule za msingi Makuburi, Ubungo NHC, Buza, Jangwani, Ugindoni na Uzuri zilizopo jijini Dar es salaam na kuendeleza uundaji wa klabu za mabalozi wa usalama barabarani.

Hafla ya kukabidhi tunzo kwa wanafunzi walioshinda kwenye msimu huu wa tatu wa VIA Creative ilifanyika kwenye ofisi za TotalEnegies Marketing Tanzania Limited jijini Dar es Salaam ambapo shule ya msingi ya Makuburi Primary school iliibuka mshindi wa kitaifa wa shindano lwa shindano hili na muwakilishi wa Tanzania kwenye ngazi ya kimataifa munamo mwezi Novemba 2024. Aidha shule hiyo pia itazawadiwa kwa kutimiziwa mapendekezo ambayo wanafunzi waliyaomba kwaajili ya kuboresha usalama wao barabarani kwa kupitia programu hii ya VIA Creative.

Akiongea kwenye ghafla hiyo, mkurugenzi mkuu wa TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, Mamadou Ngom alisema, “Tunayo furaha kubwa kuwa hapa leo tukusherehekea mafanikio ya mabalozi wetu wa usalama barabarani kupitia mradi wa VIA Creative amabo tumeshirikiana na Nafasi Art Space ambao wamekuwa wakiwapatia wanafunzi hawa elimu ya usalama barabarani kwa kupitia sanaa. Kupitia mradi huu tumeweza kuunda klabu za mabalozi barabarani 120, 20 kutoka kwenye kila shula. Pia wanafunzi hawa wameweza kutoa mapendekezo yao ya jinsi ambavyo usalama wao wa barabara unaweza kuboreshwa nasi tutatekeleza mapendekezo hayo kwa shule ya msingi ya Makuburi ambao ndio washindi wa kitaifa wa shindano hili kwa mwaka 2024.”

Mgeni rasmi, mkuu wa Idara ya Mafunzo ya Trafiki Kinondoni, A.S.P Rose Bernard Maira aliwapongeza TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, TotalEnergies Foundation Pamoja na Nafasi Art Space akisema, “Nawapongeze washika dau waliowezesha mradi huu wa VIA Creative, yani TotalEnergies Foundation, TotalEnergies Marketing Tanzania Limited Pamoja na Nafasi Art Space, juhudi zenu na mafanikio yenu katika kutoa elimu ya usalama barabarani zinastahili kupongezwa na kuigwa na makumpuni mengine ili kuchochea usalama wa Watoto wetu waendapo na watokapo mashuleni.

Aidha aliongeza kuwa “Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani tupo Pamoja nanyi kwenye jambo hili na katika kutoa elimu ya usalama barabarani pamoja na kuzijua sheria, kanuni na taratibu za barabarani kwa wanafunzi na watumia Barabara wote. Aidha, tumefurahia kujua kwamba mradi huu pia unalengo la kutimiza mapendekezo ya kuboresha hali ya usalama kwa wanafunzi wa shule iliyoshinda kama trulivyopata kuona kwenye filamu ya wanafunzi hao. Pia niwatakie kila la heri washindi hawa kwenye hatua nyingine ya shindano ambalo wanatarajia kuingia, nawasihi muiwakilishe Tanzania vizuri na mungae Pamoja na kushinda ngazi za shindano la VIA Creative zijazo.”

TotalEnergies ameonyesha njia, wengine wafuate, CSR isiwe ni hiyari, huruma au hisani, iwe ni wajibu!.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Hii CSR ni kitu muhimu sana kwa kampuni/kiwanda/taasisi kurudisha kwa jamii. Na huwa inasaidia sana hasa level za halmashauri/kata/mtaa.
 
Back
Top Bottom