07 October 2024
MICHUANO YA KANDA YA CECAFA U-20 KUELEKEA FAINALI ZA AFCON YA U-20 INAENDELEA DAR ES SALAAM
View: https://m.youtube.com/watch?v=4u3RG9q7e7w Benchi la ufundi la Tanzania chini ya kocha mkuu Charles Boniface Mkwasa akisaidiwa na Kalimangonga Ongala, Juma Kaseja..
RISING Stars Jumapili walianza kampeni zao za kuwania ubingwa wa mashindano ya Baraza la Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) kwa kuinyoa wenyeji (Ngorongoro Heroes) Tanzania 2-1 katika uwanja wa Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Timu ya Tanzania U20 imepangwa katika Kundi A pamoja na Rwanda, Sudan, Kenya, na Djibouti.
Katika Kundi B, mabingwa watetezi wa CECAFA U20 Uganda wamepangwa pamoja na Sudan Kusini, Ethiopia, na Burundi. Uganda.
Matokeo :
Tanzania 1 - Kenya 2
Sudan 3 - Djibouti 1
South Sudan 0 - Burundi 1
Uganda 3 - Ethiopia 0
Mechi zifuatazo zitapigwa siku ya jumanne tarehe 8 October 2024 katika vijana vya KMCC, AZAM COMPLEX na ule wa JKT vyote jijini Dar es Salaam.
Ukanda wa Cecafa unatarajiwa kutoa timu mbili ambazo zitashiriki Kombe la Afrika (Afcon Under 20) na Kenya inapigania kuwa kati ya mataifa hayo.
Nchi ambayo itakuwa mwenyeji wa Kombe la Afrika Under 20 itafahamika mnamo Oktoba 22 wakati ambapo kutakuwa mkutano wa CAF, Addis Ababa Ethiopia.
Senegal ndio mabingwa watetezi wa kipute hicho ambacho kitashirikisha timu za ukanda wa Zoni ya Kati, Zoni ya Mashariki ya Kati, Kusini, Zoni ya Magharibi A na B, Kaskazini na Magharibi ya Kati.
MICHUANO YA KANDA YA CECAFA U-20 KUELEKEA FAINALI ZA AFCON YA U-20 INAENDELEA DAR ES SALAAM
View: https://m.youtube.com/watch?v=4u3RG9q7e7w Benchi la ufundi la Tanzania chini ya kocha mkuu Charles Boniface Mkwasa akisaidiwa na Kalimangonga Ongala, Juma Kaseja..
RISING Stars Jumapili walianza kampeni zao za kuwania ubingwa wa mashindano ya Baraza la Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) kwa kuinyoa wenyeji (Ngorongoro Heroes) Tanzania 2-1 katika uwanja wa Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Timu ya Tanzania U20 imepangwa katika Kundi A pamoja na Rwanda, Sudan, Kenya, na Djibouti.
Katika Kundi B, mabingwa watetezi wa CECAFA U20 Uganda wamepangwa pamoja na Sudan Kusini, Ethiopia, na Burundi. Uganda.
Matokeo :
Tanzania 1 - Kenya 2
Sudan 3 - Djibouti 1
South Sudan 0 - Burundi 1
Uganda 3 - Ethiopia 0
Mechi zifuatazo zitapigwa siku ya jumanne tarehe 8 October 2024 katika vijana vya KMCC, AZAM COMPLEX na ule wa JKT vyote jijini Dar es Salaam.
Ukanda wa Cecafa unatarajiwa kutoa timu mbili ambazo zitashiriki Kombe la Afrika (Afcon Under 20) na Kenya inapigania kuwa kati ya mataifa hayo.
Nchi ambayo itakuwa mwenyeji wa Kombe la Afrika Under 20 itafahamika mnamo Oktoba 22 wakati ambapo kutakuwa mkutano wa CAF, Addis Ababa Ethiopia.
Senegal ndio mabingwa watetezi wa kipute hicho ambacho kitashirikisha timu za ukanda wa Zoni ya Kati, Zoni ya Mashariki ya Kati, Kusini, Zoni ya Magharibi A na B, Kaskazini na Magharibi ya Kati.