Lukub JF-Expert Member Joined Feb 5, 2012 Posts 3,622 Reaction score 4,100 Oct 24, 2016 #21 Toto la yanga linashuka daraja na linapigwa pigwa kila kona raha kweli mpango mzima mbao na alliance mwanza hatutaki Toto hili
Toto la yanga linashuka daraja na linapigwa pigwa kila kona raha kweli mpango mzima mbao na alliance mwanza hatutaki Toto hili
B Bhampupile JF-Expert Member Joined Jul 6, 2015 Posts 810 Reaction score 636 Oct 24, 2016 #22 Wengine waliitwa African Sport wa kule Tanga walijenga ushoga na Vyura fc sasa HIV wanacheza mchezo wa mdako kule kwao,, hata hawa Acha washuke tu.
Wengine waliitwa African Sport wa kule Tanga walijenga ushoga na Vyura fc sasa HIV wanacheza mchezo wa mdako kule kwao,, hata hawa Acha washuke tu.
sembo JF-Expert Member Joined May 25, 2011 Posts 4,350 Reaction score 3,451 Oct 24, 2016 #23 lil wayne said: Mechi ijayo mnao wale! Tutaona kama mtachomoka... Click to expand... Mkuu umepata matokeo ya Simba S.C [Taifa Kubwa] Vs Totoooo? lil wayne said: Leo Mashabiki wa Simba walikuwa wanacheki gemu utafikiri walikuwa wana lamba ndimu.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Click to expand... Kama ni ndiyo.. Mechi ulicheki ukiwa unalamba tunda gani? [emoji2] [emoji2] [emoji2]
lil wayne said: Mechi ijayo mnao wale! Tutaona kama mtachomoka... Click to expand... Mkuu umepata matokeo ya Simba S.C [Taifa Kubwa] Vs Totoooo? lil wayne said: Leo Mashabiki wa Simba walikuwa wanacheki gemu utafikiri walikuwa wana lamba ndimu.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Click to expand... Kama ni ndiyo.. Mechi ulicheki ukiwa unalamba tunda gani? [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Rajab_Omar JF-Expert Member Joined May 15, 2016 Posts 16,482 Reaction score 27,182 Oct 24, 2016 #24 sembo said: Mkuu umepata matokeo ya Simba S.C [Taifa Kubwa] Vs Totoooo? Kama ni ndiyo.. Mechi ulicheki ukiwa unalamba tunda gani? [emoji2] [emoji2] [emoji2] Click to expand... Labda Alikuwa Akiitazama Mechi Akiwa Kanywa Viroba.... Huyu Toto marahii Tutahakikisha Anamfuata Mwenzake African Sports Toto la zamani la Chaneta FC kule liliko Kwenye Mashamba ya Mkonge..
sembo said: Mkuu umepata matokeo ya Simba S.C [Taifa Kubwa] Vs Totoooo? Kama ni ndiyo.. Mechi ulicheki ukiwa unalamba tunda gani? [emoji2] [emoji2] [emoji2] Click to expand... Labda Alikuwa Akiitazama Mechi Akiwa Kanywa Viroba.... Huyu Toto marahii Tutahakikisha Anamfuata Mwenzake African Sports Toto la zamani la Chaneta FC kule liliko Kwenye Mashamba ya Mkonge..