Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Huyu mchezaji aondoke akatafute makombe, hapo anapoteza muda.Mshambuliaji wa England Harry Kaane huenda akatia saini mkataba mpya na Tottenham iwapo kifungu cha kumuachilia kuondoka katika kandarasi yake kitawekwa.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 awali aliamini kwamba alikuwa na makubaliano ya kiungwana na mwenyekiti wa klabu hiyo Daniel Levy kuondoka Spurs msimu huu wakati Manchester City ilipojaribu kumsaini.
Naunga hojaHuyu mchezaji aondoke akatafute makombe, hapo anapoteza muda.
🤣🤣🤣🤣utopologist, nmependa jina lakoConte anakwenda kumpiku Ole na kuchukua ile nafasi ya mwisho ya CL.