Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Mkuu mwepesi sana klopp kama manyoya kesho mapema tunamaliza game. Atakufa nyingi hapa wembley hawa majogoo tunachinja bila kisu kabisa.Kesho kloop atawanyoosha kwenuu
Tunachinja na kumbanika na manyoya yakeWakuu leo mkaze nawaombea mnipigie yule kikuku anayejiita kijogoo
Ww kama shabiki kuntu wa spurs unatushaur nn sisi watu wa kubetTunachinja na kumbanika na manyoya yake
hahahahahha ndugu yanguWw kama shabiki kuntu wa spurs unatushaur nn sisi watu wa kubet
[emoji3][emoji3]
Inabid uwe na roho ngumu apahahahahahha ndugu yangu
nimeona odds kule za bure 3 kabisa mpira unaisha mapema sana (spurs win & 3+)
Itakuwa shangwe sana [emoji3]Tunachinja na kumbanika na manyoya yake
Wanasema "sisi Tottenham" hajutasajili lakini tuoneshe leo kuwa usajili haukuwa wa muhimu kwetu ..
Kuadi mwenyeweKwa Mara Ya Kwanza Ndani Ya 2018 huu Uzi Unavunja Rekodi Ya Kuwa Na Posts Nyingi per day!
Makuadi Wameshaanza Kujazana.