Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Nyie jamaa mwaka huu timu yenu ni ya maajabu sana.
Ndugu yangu uliangalia mpira vizuri jana ilikuwa si siku yetu tu maana baada ya half time watoto tuliwakamata kabisaNyie jamaa mwaka huu timu yenu ni ya maajabu sana.
Ndugu yangu uliangalia mpira vizuri jana ilikuwa si siku yetu tu maana baada ya half time watoto tuliwakamata kabisa
Sema na uwanja siku ya jana ulikuwa wameharibu sana kutokana na mashindano ya weekend hii
Hivi hapa ulikua serious au ulikua unatania?Anakaa Mapema Tumekwisha Jifunza kwa mistake ndogo ndogo Tulizofanya before
Mtoto Mdogo Sana WolvesVp mlidhinda