Tottenham Hotspurs Thread

Mpo vizuri hongereni. Baada ya miaka 3+ naamin mtakuwa na mashabik wengi bongo hasa kutoka team mfu kama Arsenal, Chelsea na Man U
 
Mpo vizuri hongereni. Baada ya miaka 3+ naamin mtakuwa na mashabik wengi bongo hasa kutoka team mfu kama Arsenal, Chelsea na Man U
Heshima ni kitu kidogo sana huwezi kuziita mfu Arsenal, Chelsea, Man united wakati kiliverpool hakijawahi kuonja utamu wa EPL toka 1990

Na kwa dharau hii hata EPL msimu huu hamchukui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Son: 🗣"I do not care that people are saying Liverpool or Man City. We are still there, we are going for it."
--
🗣"We will see what is going to happen at the end of the season. They are very good sides like us. We have to just focus on ourselves. Every single game, get three points, that is most important. The season is still long."
--
🗣"We do not want to think about it. So many things can happen, you cannot even imagine. We just believe in our own games, get as many points as possible, and see what happens at the end of the season."
 
Spurs always good but not good enough to win any cup. Mnasumbua watu mwishoe mnatoka kapa.
 
Mashabiki wa Spurs Bongo? Hivi kuna mtu amewahi kutana na shabiki wa Atletico hapa Bongo?
 
Mm nimekutana nao


Wepi? Spurs au Atletico?

It is possible kwa mtu alieishi London halafu mitaa hiyo ni ya mashabiki wa Spurs au mtu aliewahi ishi Madrid halafu mitaa hiyo ni ya mashabiki wa Atletico Madrid
 
Wepi? Spurs au Atletico?

It is possible kwa mtu alieishi London halafu mitaa hiyo ni ya mashabiki wa Spurs au mtu aliewahi ishi Madrid halafu mitaa hiyo ni ya mashabiki wa Atletico Madrid
Ila wewe umezungumzia bongo (Tanzania) ambapo mimi (bila shaka na wewe) tunaishi. Mie nimekutana na mashabiki wa atketico de madrid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…