Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Ni jackot?
kwenu ndu ndio hamna kwetu wapoMashabiki wa Spurs Bongo? Hivi kuna mtu amewahi kutana na shabiki wa Atletico hapa Bongo?
Wapo ila wanakuwa dishi limeyumba flani hivi kwa ambao nimewaonaMashabiki wa Spurs Bongo? Hivi kuna mtu amewahi kutana na shabiki wa Atletico hapa Bongo?
Betia na playmaster hapo unapata freebet au bonus isiyozidi 30,000
kwenu ndu ndio hamna kwetu wapo
Subuuutu!!Nyie ni kama gari la mkaa tu hamueleweki mnapigwa match inayofuata
Sent using Jamii Forums mobile app
dua sio dua poleMatokeo ya kesho
City 2 spurz 1
RAMLI HEWAMan city anawalamba next mech EPL, Chelsea anatoa sare na liver ,
Gunaz tunashinda
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba