Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Subir next matchRAMLI HEWA
Sio hivyo mkuu, nilitabiri kuwa city atashinda kwa zaidi ya goli 2 ila difference itakuwa goli 1 ambayo itamtoa ktk mashindano. Na ndo hivyo hivyo ilivyotokea 4-3dua sio dua pole
Hii Sasa ndo finally tamu Ajax vs Liverpool
Tuko pamoja jombaa, komaeni mkutane na kaka zenu Finals, tukacheze game ya 39 EPL huko Madrid.
UpoHii Sasa ndo finally tamu Ajax vs Liverpool
Rudia tena!!?Hii Sasa ndo finally tamu Ajax vs Liverpool