Kweli kabisa mkuu.Spurs msimu huu ni kisanga,kwa kikosi hiko sio poa labda mzee baba awazingue
Haya sasa hatimaye mambo yamekuwa mambo. Kama shabiki wa kutupwa wa Spurs ni furaha kubwa kuona Don Levy kaonesha kuwa Spurs ndiyo yapaswa kuwa timu kiongozi pale England.Ligi ndiyo hiyo imeisha na angalau tutacheza kombe ambalo Jose kasema kufuzu maana yake kulibeba tayari! Kacheza mara mbili na kalibeba mara hizo. Kwa maneno yake mwenyewe kasema siyo mbaya kushiriki kwa mara ya 3 na kulibeba kwa mara hiyo.
Siyo mbaya. Kipi bora? Kushiriki UCL na kuishia fainali au kushiriki UEL na kulibeba? Mafanikio hupimwa kwa vikombe na si idadi ya fainali ulizocheza.
Natarajia kutakuwa na sura mpya dirisha hili la msimu wa korona. Binafsi nadhani kuna maeneo yafuatayo yanahitaji uwekezaji.
1. CD. Hapa tuna Dier, Sanchez, Tanganga, Toby na Foyth. Super Jan anaondoka. Pia inaonesha kocha hajamkubali dogo Foyth. Eric Dier kasaini mkataba mpya kwa sharti la kucheza kama CB. Napendekeza anunuliwe CB mnyumbulifu wa kuimarisha safu ya ulinzi.
2. DM. Hapa tayari dogo Oliver Skipp kasaini mkataba wa kudumu mpaka 2024. Hata hivyo bado tunahitaji holding midfielder wa kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Wanyama/Dier. Hapa nadhani apatikane mkongwe wakati dogo Skipp anaendelezwa mdogo mdogo.
Kwenye DM's wanyumbulifu nadhani Sissoko angeuzwa tu. Nafasi yake ichukuliwe na Sergej Milinkovic Savic wa Lazio. Akawaongezee nguvu Ndombele, Gedson, Winks, na Lo Celso.
3. RW. Hapo Lamela atoswe tupate ingizo jipya umri na calibre ya Steven Bergwijn. Hivyo tutakuwa na Sonny/Bergwijn kwenye LW. RW tutakuwa na Moura na hilo ingizo jipya.
3. No. 10. Hapa kwenye namba 10 tunaye Lo Celso tayari ambaye kimsingi ndiye mbadala wa Eriksen. Wasiwasi wangu ni "The Dele Alli problem" kama anavyosemaga Mourinho. Dele hawezi mbenchi Lo Celso nyuma ya ST. Dele kukaa benchi kutapelekea chokochoko kutoka kwa English media. Ningekuwa Mourinho ningemuuza tu na pesa hiyo plus ile ya Lamela ningenunulia winger mzuri wa kulia.
4. FB. Suala la full backs liko wazi. Ssengnon hawezi kuwa full back karibuni. Anaweza zaidi kama wingback na Mourinho angependa full back. Hivyo ni ama auzwe Ben Davies au dogo C
Sess. Suala la kuleta mabeki wapya kulia na kushoto ni la lazima hslihitaji mjadala.
5. ST. Hapa itategemea na ikiwa Kane ataondoka au laa. Nimesikia tunamnyatia Zaniolo wa AS Roma japo kocha wao kakanusha.
Ngoja tusubiri tuone.
Overhaul imegharimu £70m sawa na gharama ya mchezaji mmoja tu Kai Harvetz wa watani zetu Chelsea [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hapo ndipo unaweza amini kuwa uchawi upo.Haya sasa hatimaye mambo yamekuwa mambo. Kama shabiki wa kutupwa wa Spurs ni furaha kubwa kuona Don Levy kaonesha kuwa Spurs ndiyo yapaswa kuwa timu kiongozi pale England.
Baada ya project ya uwanja hatimaye kafanikiwa kufanya project mpya ya squad overhaul bila hata kuhitaji pesa za mafuta au kuvunja kanuni za Fifa Financial Fair Play.
Sasa jana kakamilisha overhaul kwa kununua beki wa kati anayecheza zaidi kushoto kuziba pengo la super Jan Vertonghen. Ndiyo kocha hakupata chaguo lake la kwanza (Milan Skiriniar) ila kapata beki bora wa kati wa Championship League.
Pia inafurahisha kuona genious Levy kaweza kuona umuhimu wa kumpa kocha kile atakacho. Kwako mwalimu Jose kutuletea makombe yote tunayoshiriki.
View attachment 1603326
Tumepata kikosi kipana na kilichoshiba watu wa kazi kazi. Naamini msimu huu hatutatoka patupuHaya sasa hatimaye mambo yamekuwa mambo. Kama shabiki wa kutupwa wa Spurs ni furaha kubwa kuona Don Levy kaonesha kuwa Spurs ndiyo yapaswa kuwa timu kiongozi pale England.
Baada ya project ya uwanja hatimaye kafanikiwa kufanya project mpya ya squad overhaul bila hata kuhitaji pesa za mafuta au kuvunja kanuni za Fifa Financial Fair Play.
Sasa jana kakamilisha overhaul kwa kununua beki wa kati anayecheza zaidi kushoto kuziba pengo la super Jan Vertonghen. Ndiyo kocha hakupata chaguo lake la kwanza (Milan Skiriniar) ila kapata beki bora wa kati wa Championship League.
Pia inafurahisha kuona genious Levy kaweza kuona umuhimu wa kumpa kocha kile atakacho. Kwako mwalimu Jose kutuletea makombe yote tunayoshiriki.
View attachment 1603326
Jumla ya gharama za wachezaji wote Levy aliosaini msimu huu unapata gharama ya usajili wa mchezaji mmoja wa Chelsea.Haya sasa hatimaye mambo yamekuwa mambo. Kama shabiki wa kutupwa wa Spurs ni furaha kubwa kuona Don Levy kaonesha kuwa Spurs ndiyo yapaswa kuwa timu kiongozi pale England.
Baada ya project ya uwanja hatimaye kafanikiwa kufanya project mpya ya squad overhaul bila hata kuhitaji pesa za mafuta au kuvunja kanuni za Fifa Financial Fair Play.
Sasa jana kakamilisha overhaul kwa kununua beki wa kati anayecheza zaidi kushoto kuziba pengo la super Jan Vertonghen. Ndiyo kocha hakupata chaguo lake la kwanza (Milan Skiriniar) ila kapata beki bora wa kati wa Championship League.
Pia inafurahisha kuona genious Levy kaweza kuona umuhimu wa kumpa kocha kile atakacho. Kwako mwalimu Jose kutuletea makombe yote tunayoshiriki.
View attachment 1603326
Hii timu kumbe ina mashabiki bongo?..
Hii timu kumbe ina mashabiki bongo?..
Alipigwa 6-1 halafu leo anajifanya hajui kama timu iliyomrambisha vumbi ina mashabiki bongoNakumbuka msimu uliopita vile uliomba Tottenham amfunge Leicester ili Man Utd amalize wa tatu, msimu huu Tottenham hambebi mtu, kila mmoja asimame kwa miguu yake.