Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Alipigwa 6-1 halafu leo anajifanya hajui kama timu iliyomrambisha vumbi ina mashabiki bongo
Nimeumia sana leo. Ilibidi tufunge hata goli 5 kwa nafasi tulizopata. Ndombele alikuwa ametawala pale kati alikuwa anahold mipira vizuri kila sehemu ya uwanja yupo, kocha sijui kwanini alimtoa. Ile sub ilivyotokea tu nikalaumu. Sijui kama morali ya wachezaji itaendelea kuwa juu au itashuka tuanze kuchezea vichapoHakika leo nimeshuhudia maajabu ya soka. Timu iko nyuma ya mpira dk ya 83 na inaongoza goli tatu. Wachezaji wanaleta utoto na kocha anawapigia makofi ya kuwahamasisha badala ya kuwafokea.
Serge Aurier, D Sanchez, na Winks walikuwa vinara tu, ila kikosi chote ukiacha Kane wamesababisha kupoteza mchezo.
Ngumu kuchukua ubingwa ikiwa tunapoteza points kitoto namna hii.
Inashangaza kwa kweli. Kushambulia kashindwa na basi hakupakiHii ndio ligi kuu.
Ila mou alishindwaje kupaki basi?
Imetiki.Hawa tunawanyeshea