Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
-
- #161
Hili kombe linainukia Spurs nionavyo hiki kiwango siyo utani. Yaani kipindi cha pili wangeweza kufunga hata sita leoHahahaha kama nawaona mashabiki wa chelsea ....mpira hautabiriki....mlikua mkiongoza kwa point zaid ya 10+ saivi zimefyekwa hadi zimebakia 4 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kesho man u wanawazaba tu
Hahahha aiseee jamaa kama wamewekwa chaja miguuni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hili kombe linainukia Spurs nionavyo hiki kiwango siyo utani. Yaani kipindi cha pili wangeweza kufunga hata sita leo
Ni kweli kabisa labda ni uchungu wa kuikosa mwaka janaHahahha aiseee jamaa kama wamewekwa chaja miguuni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Speed yao inatishaNi kweli kabisa labda ni uchungu wa kuikosa mwaka jana
mi napenda nimsikie anatangaza kabumbu redion/Tv siku zijazoAsante kwa kutupatia taarifa zote mkuu, nina imani ukichanjwa damu itatoka na mpira (unaupenda sana)
Muunganishe na kituo cha redio mkuumi napenda nimsikie anatangaza kabumbu redion/Tv siku zijazo
haina noma, ngoja tutengeneze mazingiraMuunganishe na kituo cha redio mkuu