Pole ya nini sasa ??
Huoni taifa limeongeza nguvu kazi ??
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] Shida kwa hiki kizazi.Inasikitisha sana...
Sometimes hata mama mwenyewe hana uhakika na yupi baba halisi wa mtoto, kwa matendo yake...
Ukisikia tu unaambiwa, kama umeikataa mimba, nitamlea mwanangu mwenyewe, alafu ole wako uje kumulizia mtoto... Ujue hata mama mwenyewe hana uhakika...
Cc: mahondaw
Taifa limeongezeka kwa kubambikiana watoto dhambi kweli!Pole ya nini sasa ??
Huoni taifa limeongeza nguvu kazi ??
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] Ndio maana panya road wengi, kizazi hiki kwa sababu, watoto wengi ni wa haramu.Nape daughter mazishi ya ki-Islam, unazikwa kwa jina la mama yako.
nimependa ulivyojipa moyo mkuuMashine zao mbovu tu hao!!
Mitihani hiyo mkuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]nimependa ulivyojipa moyo mkuu
Kubambikiwa ni kosa la wazazi siyo watoto.Taifa limeongezeka kwa kubambikiana watoto dhambi kweli!
Salama kabis Kasie.Mambo Malcom, habari za siku? Sikukuu yako imeendaje? Vipi maandalizi ya kuupokea mwaka mpya?
Hivii, najiuliza tuu ni wewe au huyu ni mwingine? Kuna ML nilikuwa namsoma kitambo alikuwa anabishana sana na Ngabu kwenye mada tofauti tofauti tuu. Nilikuwa napenda kusoma mijadala yao kimya kimya. ....ila kama yule ndo wewe siku hizi naona unabadili sana avatar. Si kuwa nakufatilia ila kila nikuonapo naona new avatar haina shida nimejikuta tuu nime notice hivo.
Back to the topic, wewe haikuumi kuzaliwa mwana si wako na unamlea ilhali hujui kama ni wako 100%? Achilia mbali kujaribu kujifananisha nae macho au pia au vidole au rangi ya ngozi..... hehehehe
Kasie Matata Mchokozi
Hisia za kwamba wanaibianaMatatizo yapi mkuu?
Salama kabis Kasie.
Mimi nikibambikiwa mtoto ntaumia.
Japo kuumia kwangu hakutabadili ukweli kwamba taifa limepata nguvu kazi mpya.
Hahahaha!Ooh basi nakuombea heri yote usijebambikiwa mtoto.
Happy New Year.
Hahahaha!
Happy New Year Kasie...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ooh basi nakuombea heri yote usijebambikiwa mtoto.
Happy New Year.
PoleMitihani hiyo mkuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]