I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Fishing spiders ni moja ya jamii ya buibui wakubwa wenye miguu nane. Buibui hawa mara nyingi wanaishi maeneo yenye vyanzo vyanzo vya maji na chakula chao pendwa ni samaki wadogo na wadudu waishio majini.
UNAAMBIWA buibui dume huwa na mahusiano na jike moja tu maisha yao yote. Na pale wanapokutana kufanya sex na dume kumwaga basi hapo ndio inakuwa mwisho wa maisha yake na hatimae anampa wasaa mama watoto kumfanya jamaa maakuli. Masikini buibui wa watu.
UNAAMBIWA buibui dume huwa na mahusiano na jike moja tu maisha yao yote. Na pale wanapokutana kufanya sex na dume kumwaga basi hapo ndio inakuwa mwisho wa maisha yake na hatimae anampa wasaa mama watoto kumfanya jamaa maakuli. Masikini buibui wa watu.