Tour de France

kizaizai

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
5,651
Reaction score
6,966
Sikuwahi fuatilia haya mashindano. Nashangaa nimeyapenda kuangalia hasa yakiwa Live. Mbali na raha ya mashindao yenyewe, France ni Green nchi nzima, sijaona matuta barabarani maana wanapita kwenye milima mikali zaidi ya Kitonga lakini hakuna matuta barabarani. Bicycle inakimbizwa hadi 80Km/h.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…