Tour fupi ya shamba langu la greenhouse

Thread nzuri sana,mm pia ni mpenzi wa kilimo cha greenhouse.
 
Huu uzi nimeugundua juzi,kutokana na umuhimu wake + haja ya moyo wangu nimesoma/pitia michango yooote. Sijawahi kuta uzi wenye page 10+ nikasoma zote lakini kwa uzi huu nimethubutu.

Hakika nimefaidika lakini napaswa kufika katika shamba darasa kujazia pale palipo baki,sasa hivi ni saa kumi kasoro ikifika asubuhi tu nakupigia simu mkuu.
 
miezi gani mizuri kulima matango Dar..kutoingiliana na Yale yanayotoka mikoani...
 
vipi kuhusu changamoto zake?
 
Natumaini mnaendelea na shuguli za kulijenga taifa kwa namna moja au nyingine.

Wakuu mliokwisha anza/mlioacha na mnaoendelea kulima kwenye greenhouse ingependeza mtupe feedback ni wapi mumefikia, pia itawasaidi wakulima wengine
kupata mwelekeo zaidi wa maamuzi yao au kufanya marekebisho kadhaa.

Ni changamoto gani mmezipata hadi kutengeneza faida au hata kuachana na ulimaji huo.

Greenhouse yako inatosha kuzalisha kiasi kinachotakiwa na soko lako? Unazalisha hadi bidhaa zinabaki au zinakwisha na bado soko linahitaji?

Soko lako au wananunuaji wako ni watu gani, had mtumiaji wa mwisho? Wananunua kwa bei uliyoamua?

Ili kutengeneza faida kubwa, Je bidhaa/produce yako unazalisha mwaka mzima au unalengeshea kipindi cha bei ya juu tu? Au unabadilisha mazao tofauti tofauti?

Ili kutengeneza faida kubwa, unalima kwenye greenhouse na nje kwa pamoja?

Kwa walimaji wa greenhouse, umeweza kufaidika kiasi cha kurudisha gharama ulizotumia kuanzisha greenhouse?

Usahuri wako na maoni kama unao/unayo.

Asanteni sana.
 
vipi kuhusu changamoto zake?

Nategemea unauizia changamoto za kilimo kwa ujuma hasa kwa kiimo cha waz yaani bila gh. Kwanza eewa kuwa kilimo ni biashara km biashara ingine yoyote. Km unategemea itakuwa ni biashara yenye hangamoto chache u isiyonayo kabisa utakuwa unajidanganya. Naisha ni kupambana hakuna kitu chenye thamani ambacho unakipata kirahisi ktk maisha hivyo km unataka kuingia ktk kilimo usiogope hangamoto sababu hata ktk maisha ukiamua kutofanya chochote bado pia pana hangamoto

Challebges za kiimo hiki zinategemeana na aina ya zao na eneo unapolimia kn mara nyingi ni watu kulima bila kuwa na elimu ya kiimo matokeo yake kupoteza muda na pesa zao na kuishia kukichukia kiimo, kilimo wazi kutegemeana na eneo ulipo km hutunzi mazao yako na kwakuwa unatumia mbegu zenye uzao mkubwa kuna uwezekano ukawa unaibiwa mazao yako usiku, mbolea na madawa feki yamejaa sokoni, wakulima kutokujua magonjwa na wadudu waharibuo mazao, kutopata maji ya kutosha ya umagikiaji, nk

Lkn unatakiwa kukaza moyo na kulima, waliofanikiwa ktk kiimo ni wale tu wasioogop na walio tayari kujaribu. Jaribu sasa utasubiri fanya uliyoyapanga hadi siku gani?
 

Hapa hujaitaja aina ya mbegu unayotumia wewe.....pls inaitwaje?
 
Green houses kibao zinatelekezwa..sijajua shida ni nn..jiran yangu ametelekeza GH yake...!Kila la heri wakulima
 
Nimeona hili pia, sijajua changamoto iko wapi kwa wakulima wenzangu wa huu mfumo, sie wa Kilimo cha ardhi isiyofunikwa tunaendelea kupambana na jembe.
"Kama unataka mali utaipata shambani"
Green houses kibao zinatelekezwa..sijajua shida ni nn..jiran yangu ametelekeza GH yake...!Kila la heri wakulima
 
Nimeona hili pia, sijajua changamoto iko wapi kwa wakulima wenzangu wa huu mfumo, sie wa Kilimo cha ardhi isiyofunikwa tunaendelea kupambana na jembe.
"Kama unataka mali utaipata shambani"


Kwakweli pambaneni kila la heri..nadhan mazao Gh Ni aghali pia..mfano nyanya yy alikua anauza sado 12000🙆..naona kaitelekeza mwaka wa 4 huu
 
Kwakweli pambaneni kila la heri..nadhan mazao Gh Ni aghali pia..mfano nyanya yy alikua anauza sado 12000[emoji134]..naona kaitelekeza mwaka wa 4 huu
Production cost ziko juu hasa kwa small scale producers hivyo compensation yote unaifanya kwenye mauzo ndiko mkwamo hutokea, kwanini mbongo anunue nyanya za buku tano kwako wakati zinauzwa jero soko la mkulima kitaa?
Shukrani mkuu.
 
Kuna watubwanataka lima pilipili mbuzi wananiuliza sana habari zake lkn mimi aizifahamu sana kwani sijazilima lkn nasikia watu wanazilima Dae nadhani zinakubali. Mnaweza tfuta humu kina posts na thread za hiyo kitu jf
 
Mhhh sijui nna ukata wa matukio flani au nini ili nimependa sauti ya mwenye video🙈🙈
 
Nataka hiyo huduma ya kupimiwa udongo ili tulime kisasa km vidro ya shamba lako inavyoonyesh. Tuna wakulima wengi tu huku mvometo wanahitaji hiyo huduma
 
Nataka hiyo huduma ya kupimiwa udongo ili tulime kisasa km vidro ya shamba lako inavyoonyesh. Tuna wakulima wengi tu huku mvometo wanahitaji hiyo huduma

Nipigie tukupatie hiyo huduma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…