Tourism and hospitality Job vacavncies, techniques and others issue threads

Tourism and hospitality Job vacavncies, techniques and others issue threads

Baba wa mbingu

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2022
Posts
286
Reaction score
749
Kwema wanajukwaa? napenda tutumie uzi huu kushare mambo mbali mbali yanayohusu utalii kama vile nafasi za kazi za utalii, mbinu na tecknolijia katika sector hii ili kuwezeshana na kubadilishana uzoefu, pamoja.
 
Ngugu zangu natafta kazi yeyeote ile napatikana ARUSHA. kuhusu ujuzi nina ujuzi wa mambo ya utalii na ningefurahi iwapo mkiniunganisha na kampuni moja wapo ya utalii na nipo tayari kufanya kazi kwenye idara yoyote ile ya utalii
 
Ngugu zangu natafta kazi yeyeote ile napatikana ARUSHA. kuhusu ujuzi nina ujuzi wa mambo ya utalii na ningefurahi iwapo mkiniunganisha na kampuni moja wapo ya utalii na nipo tayari kufanya kazi kwenye idara yoyote ile ya utalii
Utalii ni hotelier au?
 
Kwema wanajukwaa? napenda tutumie uzi huu kushare mambo mbali mbali yanayohusu utalii kama vile nafasi za kazi za utalii, mbinu na tecknolijia katika sector hii ili kuwezeshana na kubadilishana uzoefu, pamoja.
Ngoja waje wajuvi kutoa muongozo
 
Kwema wanajukwaa? napenda tutumie uzi huu kushare mambo mbali mbali yanayohusu utalii kama vile nafasi za kazi za utalii, mbinu na tecknolijia katika sector hii ili kuwezeshana na kubadilishana uzoefu, pamoja.
Ngoja waje wajuvi kutoa muongozo
 
Back
Top Bottom