Habari zenu wakuu, nimeamua kufanya business ya tours kwa wale wenye kutaka kutembea Zanzibar. Lengo hasa ni kuwa target wanafunzi wa shule mbali mbali Tanzania na kuwawezesha kuja Zanzibar kimatembezi. Kama wewe ni mwalimu au unahisi kuna shule wanataka kufanya safari ya kuja Zanzibar tafadhali nijuilishe ili niorganize kwa ajili yako/yao. Hata wanaunzi wa vyuoni pia wanakaribishwa. Package kwa ajili yao ina include ticket ya Go and Return from Dat to Znz (ferry ticket), pia Accomodation ya 4 nights katika hotel iliyopo stone town, Transportation from and to town, prison island trip, dolphin trip, north coast trip. Kama upo intrested tafadhali ni pm, au pia kama unaweza kutuunganisha na shule yoyote pia nitumie pm ili tujadili. Spread the word please