Tovuti Rasmi ya Dayosisi ya Bukoba inathibitisha kwamba Elipidius Rwegoshora ni Padre wao

Tovuti Rasmi ya Dayosisi ya Bukoba inathibitisha kwamba Elipidius Rwegoshora ni Padre wao

DALALI MKUU

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2022
Posts
2,011
Reaction score
4,705
Tangu jana Kuliporipotiwa Tukio la Paroko msaidizi kuhusika na Tukio la Kutekwa,Kuawa wka Binti Mrembo Asimwe(2) Kumekuwa na hisia tofauti juu ya wahusika hao Hususanai Mhusika wa Kwanza Ambaye ni abab yake pamoja na mtu aliyetajwa kwa jina la aElipidius Rwegoshora ambaye inadaiwa kuwa ni Paroko msaidizi wa parokia ya Bugandika Huko Bukoba Kagera

Wengi wanasema kwamba mtajwa hapo juu sio padre bali ni rafiki wa Padre.

Mimi nimepitia kweney tovuti Rasmi ya Dayosisi hiyo Diocesan Priests inaonyesha Jina la mtajwa hapo juu pamoja na Picha yake kwamba ni Padre katika Dayosisi hiyo tangu mwaka 2006.

Ipo picha na jina hilo na hakuna jina lingine linalofananaia na hilo, itoshe tu kusema kuwa ni kweli ni Padre, Sasa tutegee taarifa rasmi ya TEC.

Picha inayoonekana yenye jina hilo ni hii


202ElpidiusR elipidiusi rwegoshora.jpg


Pia soma
-
 
Huwa nachukia hizi habari za kipumbavu ambazo zinafanyiwa spinning bila kuisha...Ukisema upuuzie uzi huu baadae utakuta mwingine,ukisema upuuzie mwingine asubuhi utatoka mwingine..mwisho wa siku Utasikia ITV wanafanya mahojiano na padre original akiongea kutoka masomoni Roma.
 
Huwa nachukia hizi habari za kipumbavu ambazo zinafanyiwa spinning bila kuisha...Ukisema upuuzie uzi huu baadae utakuta mwingine,ukisema upuuzie mwingine asubuhi utatoka mwingine..mwisho wa siku Utasikia ITV wanafanya mahojiano na padre original akiongea kutoka masomoni Roma.
Kwa hiyo mkuu inawezekana jeshi limeamua kutumia padre ili mjadala ujikite huko, wasahau uzembe uliofanywa na jeshi la polisi Kushindwa kumlinda asimwe hadi anakutwa na umauti?
 
Ni chungu na ni uchafu rc kukubali kama huyo ni mtu wao. Kuna kocha wa timu fulani alihusishwa na dawa za kulevya, timu yake ilikanusha si mtu wao
 
Back
Top Bottom