[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kamnunua 50 c unajua uyo ni mzee wa janja janja
Diamond Platinumz ameweka rekodi ya kuwa msanii wa kwanza Mtanzania video yake kuwekwa kwenye tovuti ya msanii wa Kimarekani 50 Cent. Tovuti hiyo thisis50.com iliandika "Checkout Tanzania awards winner, Diamond Platinumz new video,"Marry You" featuring Ne-Yo"
What's your point, wewe inakusaidiaje? Mtuhumiwa huyu na hafai kwa taifa letu. Nimezitupa cd zake zote baada ya kupata taarifa za ukweli juu ya upunda wake.
Ohoooo!!![emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]What's your point, wewe inakusaidiaje? Mtuhumiwa huyu na hafai kwa taifa letu. Nimezitupa cd zake zote baada ya kupata taarifa za ukweli juu ya upunda wake.
Trust me huu wimbo umekuwa na impact kubwa kwenye media na nchi zingine kuliko hapa TzUkitaka kujua kuna watu ni maskini wa akili
Hivi watabeza ishu kama hiyo wakati inabidi jamaa tumpongeze kwa mafanikio, mchizi ana jitahidi daily kutangaza majina yake na kazi zake