Tovuti ya jeshi la polisi tanzania

Balantanda

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2008
Posts
12,480
Reaction score
4,775
Salaam wakuu,,,,,katika pitapita yangu ndani ya mtandao nimekutana na hii:www.policeforce.go.tz.Kwa kiasi fulani ni nzuri...Hongera[/url] IGP Mwema kwa kuianzisha tovuti hii ambayo kwa kiasi fulani inajitosheleza...cha msingi ni kuiendeleza na kuifanyia 'updates' mara kwa mara.
 
Inawezekana ni nzuri kwa kiasi fulani kama ulivyodai, wataalam wa mambo ya www wanakupa tahadhari unatengeneza web site epukana na rangi zanazoumiza macho, hilo ndo tatizo kubwa nililoliona katika website hiyo.
 
Tovuti hii ya geshi la polisi ina matatizo/upungufu kibao. Nashawishika kusema kuwa imetengenezwa na mtu anayejifunza kazi. Ukiacha tatizo la rangi ambazo hazi reflect rangi halisi ya jeshi (cooperate color), pia layout yake haijakaa vyema. Taarifa hazijawa formated kwa umakini na navigation ya pages siyo user friendly.

Hata hivyo ni hatua nzuri kwa jeshi. Nimatumaini yang itaboreshwa kadri siku zinavyoenda ikiwa ni pamoja na ku-update na kuweka data nyingi zaidi.
 


Polisi wamekuwa wakitoa wanamichezo wazuri sana. Ila kuna madudu mengi sana kwenye hii awamu ya Kikwete. Ni aibu jeshi la polisi kuwa na website ya ovyo ovyo namna hii.

Kuna takwimu za zamani (2004) kwenye hii website japo zimewekwa juzi juzi tu. Haiwezekani hawana takwimu za karibuni - haiwezekani! An outdated, non-dynamic or non-interactive website site like this... what for?



.
 
unajua tovuti inaweza ikawa na mwonekano mzuri lakini utendaji kazi katika kikosi ni balaa!! nisawa na kumvesha suti mtu asiye ona maji maishani mwake!!!
 
Samahani Mkuu,

Ila hapo chini spelling sahihi ni "corporate"
Unaweza ukakosa tenda hivihivi.

 
mbona huu uchafu haufunguki jamani, nimejaribu mara kibao kuifungua hii web, lakini inakataa. au ndo wako kwenye marekebisho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…