Tovuti ya Shule ya Sekondari Kawawa yadukuliwa

Tovuti ya Shule ya Sekondari Kawawa yadukuliwa

Diff C9

Member
Joined
Feb 12, 2021
Posts
64
Reaction score
64
Habari zenu wanajukwaa na ma great thinker wa JF. Matumaini yangu ni kwamba tunaendelea salama, kwa waliopatwa na matatizo nawaombea kwa m/Mungu awasaidie.

Moja kwa moja niende kwenye mada tajwa hapo juu, imekuwa jambo la kawakda kwa tovuti nyingi za kibongo kutokuwa na structure, organization na functionality nzuri. Baya zaidi limekuja hivi punde baada ya websites hizo kudukuliwa mara kwa mara tena mdukuzi akiomba alipwe pesa.

Leo baada ya kusikiliza tangazo la shule iliyopo Iringa ya kawawa Secondary nikaamasika kuingia kwenye tovuti yao lakini hiki ndicho nilichokumbana nacho

Screenshot_20210309-182417.png
 
Mbaya zaidi shule nayo ilikuwa inatangaza tangazo la kufanya admission kwa wanafunzi wa kidato cha nne, cha tano na wengineo . Too pathetic
 
Mirlz B Matthew Sijajua tatizo ni nini, it 's better ukostike kulipia full package ya website development ili uishi kwa amani otherwise utapata stress
 
Hivi ile ya MAKUMIRA university ilishakuwa secured from hacker?
 
Habari zenu wanajukwaa na ma great thinker wa JF. Matumaini yangu ni kwamba tunaendelea salama, kwa waliopatwa na matatizo nawaombea kwa m/Mungu awasaidie.


Moja kwa moja niende kwenye mada tajwa hapo juu, imekuwa jambo la kawakda kwa tovuti nyingi za kibongo kutokuwa na structure, organization na functionality nzuri. Baya zaidi limekuja hivi punde baada ya websites hizo kudukuliwa mara kwa mara tena mdukuzi akiomba alipwe pesa.

Leo baada ya kusikiliza tangazo la shule iliyopo Iringa ya kawawa Secondary nikaamasika kuingia kwenye tovuti yao lakini hiki ndicho nilichokumbana nacho

View attachment 1721074
Hapa umekuja kuomba msaada au?
 
marxlups nadhani ungerudia kuusoma uzi huu ungeelewa haraka mno. It's a wake up call hili jambo litakuja kuwa serious in the days to come, nyuzi kama hizi zilianza kushika kasi kipindi cha nyuma kidogo. Kama sikosei kuna mmoja aliitua nyuzi moja akiwalaumu vijana wa UDOM kuwa na nywila dhaifu kama 1234, mama, etc
 
Kama alitumia joomla ama wordpress templates za free lazima wakuonye tu maana usitegemee mru kaumiza kichwa kucode wewe unabeba kitonga lazima wakupe adabu
 
Mambo mengine ni upumbavu tu..mtu una hack website ya shule ili upate nini?.
 
Mnataka website za cheap
Mtu akupa template,
ambalo ni easy Sana kuwa attacked,

Tafuta mtu apige code from scratch kidogo web inakuwa strong , unique,full ownership, una structure unavotakaa wwe,

Kuna jamaa hum jamii forum alikua anafundisha kutengeneza web ndan ya dk 40 ,
watu wakaanza kukomenti eti web developer wanatupiga ,kumb web ni easy etc, ngoja mpigwe

Japo kuwa kweny IT mt yyte anaweza pigwa ila tuna reduce risk ya kupigwa
 
Back
Top Bottom