Tovuti ya TFF imefufuka (Imeanza kuwa active)

Chipsi yaipembeni

Senior Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
128
Reaction score
92
Kilio cha Wanasoko nchini kimesikiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) baada ya leo kuanza kuweka habari zake kwenye tovuti ta mtandao huo ambayo ni Home | Tanzania Football Federation | Tanzania Football Federation.

Aidha, kwa wale wapenda soka msisite kupita kuangalia lolote linalotokea kwa upande wa michezo nchini.

Asante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…