Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtani pale benchi kuna Milioni 6 [Vincent Bossou] zinateketea kila mwezi.. Timua huyo jamaa, ili muweze kupata hela ya kudesign na kuendesha website ya timu.. Hivi mtani kwani nanyi hampendi kua na website bora kama .. Simba Sports Club | Simba Sports Club ..
Wakati ni wako... Chukua hatua.
Mtani pale benchi kuna Milioni 6 [Vincent Bossou] zinateketea kila mwezi.. Timua huyo jamaa, ili muweze kupata hela ya kudesign na kuendesha website ya timu.. Hivi mtani kwani nanyi hampendi kua na website bora kama .. www.simbasports.co.tz/ ..
Wakati ni wako... Chukua hatua.
Mikia Bwana Mbona mnakiherehere hivyo mambo ya Yanga yanawahusu nini? Fanyeni yenu bana au kile kichapo bado kinawauma nini? Website yenyewe mmeanza juz wakat yetu hatakama haina update lakin ina miaka chungu mzima....Mikia ninyi
pia kuna Agban kacheza England huyu anashindwaje Tanzania?. Yanga bhana!!!!
Nyani haoni kundule huona la mwenzake. 'Yanga' wafanye hima maana hata Nd'aw naye anaigharimu sana klabu.
CC. sembo (aione mu kichwa chake).
Takribani miaka miwili sana chama la wananchi bado tovuti yake imekwama, fanyeni kuirekebisha. Pia andikeni majina ya wachezaji kwenye jezi zenu.. Wapi Dr. Tiboroha?
Si kila kitu ni cha kuweka ushabiki.. Tumewaruhusu kuiga.
Suala la Website Nani kamuiga mwenzake? Halaf inawauma sana kwa Busou kukaa bench maana mnaitamani hela anayolipwa na mnajua Fika kuwa kwenu mshahara wake unalipa wachezaji mnaowaita nyota wenu watatu!! Yanga inafanya Vizuri na sio kila mchezaji aliyesajiliwa anacheza ndo maana ya Sub na Huwez mtoa mtu kama anacheza vizur ukaingiza mwingine kisa Umemsajili Hela nyingi.... Wakat ukifika atacheza. Na muelewe yule ni nahodha msaidiz wa Togo Chin ya Adebayo na Yuko Kikos cha kwanza....
Hivi yule jamaa alivaa viatu vikongwe siku ile Anacheza timu Ya Taifa? Bado yuko simba?.. Mlimpa mkataba wa miez mingapi?
Swali: Hivi yule jamaa alivaa viatu vikongwe siku ile Anacheza timu Ya Taifa?
Jibu: Hayupo timu ya Taifa
Swali: Bado yuko simba?
Jibu: Ndio bado yupo Simba
Swali: Mlimpa mkataba wa miezi mingapi?
Jibu: Tulimpa mkataba wa miezi 3, ambao utaisha Disemba baaada ya mechi ya Mtani Jembe 3.. Nadhani atatuaga fresh.
Swali: Hivi yule jamaa alivaa viatu vikongwe siku ile Anacheza timu Ya Taifa?
Jibu: Hayupo timu ya Taifa
Swali: Bado yuko simba?
Jibu: Ndio bado yupo Simba
Swali: Mlimpa mkataba wa miezi mingapi?
Jibu: Tulimpa mkataba wa miezi 3, ambao utaisha Disemba baaada ya mechi ya Mtani Jembe 3.. Nadhani atatuaga fresh.
Mtani pale benchi kuna Milioni 6 [Vincent Bossou] zinateketea kila mwezi.. Timua huyo jamaa, ili muweze kupata hela ya kudesign na kuendesha website ya timu.. Hivi mtani kwani nanyi hampendi kua na website bora kama .. www.simbasports.co.tz/ ..
Wakati ni wako... Chukua hatua.
Mimi Ni Mgeni Hapa Kwenu Tanzania Hivi Yanga Ni DUDU Gani?
Takribani miaka miwili sana chama la wananchi bado tovuti yake imekwama, fanyeni kuirekebisha. Pia andikeni majina ya wachezaji kwenye jezi zenu.. Wapi Dr. Tiboroha?