P J O
Senior Member
- May 3, 2024
- 189
- 264
Habari za Asubuhi. Twende Moja Kwa Moja kwenye mada.
Serikali kipindi Cha JPM na Kikwete waliwekeza sana kwenye kuboresha mifumo ya TEHAMA, foleni kwenye maofisi ya serikali, Hospitalini zilipungua kiasi kikubwa lakini Bado Kuna changamoto kwenye kuomba maombi kwenye tovuti zao, Tena changamoto kubwa.
RITA, ukishatengeneza account, ulitaka kusign in wanakuomba username wakati username hawajakupa, no customer care . 😐
TRA, mifumo ya kupata TIN number kila leo inacollapse na hawatoi taarifa.
Tovuti za kutuma maomba ya vyuo vya serikali kama Muhimbili ndio usiseme. Hapafai kabisa.
Nisiendelee mwenyewe, Taja tovuti nyingine za serikali ambazo ulitoka povu kupata huduma
Serikali kipindi Cha JPM na Kikwete waliwekeza sana kwenye kuboresha mifumo ya TEHAMA, foleni kwenye maofisi ya serikali, Hospitalini zilipungua kiasi kikubwa lakini Bado Kuna changamoto kwenye kuomba maombi kwenye tovuti zao, Tena changamoto kubwa.
RITA, ukishatengeneza account, ulitaka kusign in wanakuomba username wakati username hawajakupa, no customer care . 😐
TRA, mifumo ya kupata TIN number kila leo inacollapse na hawatoi taarifa.
Tovuti za kutuma maomba ya vyuo vya serikali kama Muhimbili ndio usiseme. Hapafai kabisa.
Nisiendelee mwenyewe, Taja tovuti nyingine za serikali ambazo ulitoka povu kupata huduma