Townace automatic vs Townace manual

Townace automatic vs Townace manual

hopetumaini

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2013
Posts
528
Reaction score
316
Habari za humu wakubwa, natumaini mnaendelea vyema na kampeni za siasa.

Shida yangu kubwa naomba ushauri wa kitaalamu kuhusu gari tajwa hapo juu. Nataka kununua townace kwa ajili ya kufanyia biashara ya gesi. Sijui ipi itafaa zaidi kati ya Townace automatic au manual.

Kwa nionavyo mimi gari za manual hufaa zaidi kwa kazi za mizigo lakini nimepata ushauri hata townace automatic inapiga mzigo poa tu na hakuna shida. Sasa sielewi nichukue ipi, nikaona nilete humu kuna wajuzi zaidi wa magari.
 
Habari za humu wakubwa, natumaini mnaendelea vyema na kampeni za siasa.

Shida yangu kubwa naomba ushauri wa kitaalamu kuhusu gari tajwa hapo juu. Nataka kununua townace kwa ajili ya kufanyia biashara ya gesi. Sijui ipi itafaa zaidi kati ya Townace automatic au manual.

Kwa nionavyo mimi gari za manual hufaa zaidi kwa kazi za mizigo lakini nimepata ushauri hata townace automatic inapiga mzigo poa tu na hakuna shida. Sasa sielewi nichukue ipi, nikaona nilete humu kuna wajuzi zaidi wa magari.

Kama ni gari ya kazi kama ambavyo umeeleza kwamba niya kubebea gasi chukua manual
 
Manual gear box inafaa zaidi kwa gari ya kazi

Sina utaalam sana ila nilishauriwa na fundi mmoja akidai auto ndio inakufa sana gearbox kama ni gari ya kazi ikanibidi ninunue Townace manual,ngoja wenye utaalam nazo waje watupe somo kinaga ubaga
 
Sina utaalam sana ila nilishauriwa na fundi mmoja akidai auto ndio inakufa sana gearbox kama ni gari ya kazi ikanibidi ninunue Townace manual,ngoja wenye utaalam nazo waje watupe somo kinaga ubaga
Of course manual gear box ni reliable na pia utengenezaji wake ni rahisi compare to automatic. Chukua ushauri wa Huyo fundi
 
Mkuu kwa mazinginra ya Kitanzania gari KAZI nunua manual...hutajuta....
 
Sina utaalam sana ila nilishauriwa na fundi mmoja akidai auto ndio inakufa sana gearbox kama ni gari ya kazi ikanibidi ninunue Townace manual,ngoja wenye utaalam nazo waje watupe somo kinaga ubaga
Asante sana kwa ushauri.
 
Back
Top Bottom