BLACK MARXIST
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,458
- 5,352
Zinasumbua kwenye spea nini, tupe uzoefu mkuuachana na toyotaaudi mkuu nunua nissansuzuki spea za kwumwaga
Toka lini Nissan ikawa Suzuki na ww?[emoji15] [emoji15]Zinasumbua kwenye spea nini, tupe uzoefu mkuu
Haha jamaa alikua ana joke, me nimeuliza swali serious..Toka lini Nissan ikawa Suzuki na ww?[emoji15] [emoji15]
Bae S8
Bae[emoji76] [emoji76] [emoji76] [emoji76]
Hii ndo m38Bae S8
Hio bei ipo juuHii ndo m38
Du hii njaa sasa..lakini mvua zinanyeshaachana na toyotaaudi mkuu nunua nissansuzuki spea za kwumwaga
Kuna post pia niliisoma jana humu ndani inahusisha gari inaitwa Jaguar Range Rover,sijajua kama hii kitu ipo au mimi ndio sielewi?Mwisho wasiku utasikia "nimenunua gari mitsubishi hyundai
jaguar ni wamiliki wa landrover mkuu hilo ndo jina la kampuni la sasa sio jina la gariKuna post pia niliisoma jana humu ndani inahusisha gari inaitwa Jaguar Range Rover,sijajua kama hii kitu ipo au mimi ndio sielewi?