Toyota Avensis 2004/06 VS Toyota Premio2002/05

Toyota Avensis 2004/06 VS Toyota Premio2002/05

Thelionden

Senior Member
Joined
Apr 7, 2018
Posts
165
Reaction score
160
Wakuu habari za majukumu ya siku nzima?
Wadau ningependa kujua ubora wa hizi gari katika nyanja tofauti tofauti kama vile:-
1. Ubora wa engine, body na gear box.
2. Upatikanaji wa spare
3.kuhimili mikiki mikiki rough roads japo sio mara kwa mara.
4. Confortability
5. Ustahimilivu wa safari ndefu
6. Stability barabarani
Picha mbili za kwanza ni premio na mbili za mwisho ni avensis.
Natanguliza shukrani zangu.
Screenshot_20201025-223939_CamScanner.jpeg
Screenshot_20201025-223941_CamScanner.jpeg
Screenshot_20201025-223952_CamScanner.jpeg
Screenshot_20201025-223950_CamScanner.jpeg
 

Attachments

  • Screenshot_20201025-200043_Chrome.jpeg
    Screenshot_20201025-200043_Chrome.jpeg
    88.1 KB · Views: 20
Premio ni chaguo la wengi kutokana na spare parts tofauti na Toyota avensis kwasabb hii gari CC zake ni kubwa kidogo 1990 CC .
Avensis ni gari ya kibabe Kwenye Safar ndefu za mikoani pia inahitaji service ya uhakika kutokana na engine yake ya 1AZ
 
Nimekupata mkuu
Premio ni chaguo la wengi kutokana na spare parts tofauti na Toyota avensis kwasabb hii gari CC zake ni kubwa kidogo 1990 CC .
Avensis ni gari ya kibabe Kwenye Safar ndefu za mikoani pia inahitaji service ya uhakika kutokana na engine yake ya 1AZ
 
Lakini 1AZ iko hata kwa premio
Premio ni chaguo la wengi kutokana na spare parts tofauti na Toyota avensis kwasabb hii gari CC zake ni kubwa kidogo 1990 CC .
Avensis ni gari ya kibabe Kwenye Safar ndefu za mikoani pia inahitaji service ya uhakika kutokana na engine yake ya 1AZ
 
Mkuu....
Mimi Sina la kukushauri, zaidi nimekuja hapa kwaajili ya kukupongeza tu..[emoji2760]
 
Tema vitu mkuu nimeona bei yake ni reasonable afu iko na weight ya kutosha na sio sare ya taifa, chuma inakaribia 1.5 ton maana iko na 1.3 na sehemu na injini sio ya kichovu sana kwa safari ebu mkuu tema vitu mzee.
Kamata Avensis hutojuta
 
Back
Top Bottom