Hahaha wale wapenda fujo sindio wanasemaga 1Jz nzuri kwa ajili ya tunning na makorokoro mengine kama turbo charging sijui. Gari inakuwa na nguvu sanaTatizo la Brevis ni kutumia 1JZ engine ya kizamani ndo maana mafuta yanaenda kizembe mara mia engine ya 4GR
Wenye brevis hawana sababu za msingi kuwa na brevis.na wewe mwenye ist. raum.spacio.including all walking babies sababu yako ya msingi ni ipi hasa kama si kukimbilia Mafuta ya elfu kumi kumiUwezo unawaruhusu, poa mahitaji na mapenzi yao. Wala si kwasababu ya kitaka kuonekana wanaume.
Pia elewa, nimesema matumizi ya kifala sasa hao wanasababu zao kimsingi kabisa wala si kwasababu za kuinekana wanatumia
Hahahah watu wanaongea tu, majority ya ma Don hapa town wanapush vyombo vya cc2500-5000 na walalahoi wengi wanaminyana kwenye juisi za miwa humo cc990-1800. Mwisho wa siku kila mtu na upenzi wake, mie niko radhi niende sheli mara kwa mara ila mchuma nao push uwe na mashine ya 6 cylinder inayounguruma kama simba.Cc 2500 ndio za kukimbia? Watu wapo mjini wana CC 6000
Kuishi invalid life nako ni uanaume?Watu wanazikimbia toyota brevis kuwa zinakula mafuta na spare ni ghali sana, kumbe ukiona mtu anendesha brevis ujue huyo ni mwanaume haswaaa.
Mikweche sio?Hakuna gari ya namna hiyo itakayotengenezwa kuzidi Mark 2 grande ndio maana mpaka namba A zipo zinasumbua
Hivi kumbe Zina mdomo? Hizi gari mwisho zitakula majani sasaWatu wanazikimbia toyota brevis kuwa zinakula mafuta na spare ni ghali sana, kumbe ukiona mtu anendesha brevis ujue huyo ni mwanaume haswaaa.
Hao ndiyo wanaume waliobaki mjini, sasa mwenye Ist.spacio na vitz wanaitwajeHahahah watu wanaongea tu, majority ya ma Don hapa town wanapush vyombo vya cc2500-5000 na walalahoi wengi wanaminyana kwenye juisi za miwa humo cc990-1800. Mwisho wa siku kila mtu na upenzi wake, mie niko radhi niende sheli mara kwa mara ila mchuma nao push uwe na mashine ya 6 cylinder inayounguruma kama simba.
Angalia Touareg, Audi suv, benz, bmw, harrier,kluger, crown, mark x ,brevis, mark 2 na VX V8 zilivyo nyingi hapa town wote wanacheza humo kwenye cc2500-5000. Walalahoi ndio wapiga kelele
Nasukuma ranger la shemejiwewe unayo hammer au vitz
Sio kweli mkuu unaweza dhibitisha hilooo.??je kwa lita moja inakwenda kilomita ngapi??Watu wanazikimbia toyota brevis kuwa zinakula mafuta na spare ni ghali sana, kumbe ukiona mtu anendesha brevis ujue huyo ni mwanaume haswaaa.
Hahahah hao tutawaita special group!Hao ndiyo wanaume waliobaki mjini, sasa mwenye Ist.spacio na vitz wanaitwaje
Litre 1 ni standard kwa kilometre 7 kwa gari nyingi za Toyota. Ikienda chini ya hapo ujue ina walakini.Sio
Sio kweli mkuu unaweza dhibitisha hilooo.??je kwa lita moja inakwenda kilomita ngapi??
Ila ni engine nzito sana yani tofauti na 4GRHahaha wale wapenda fujo sindio wanasemaga 1Jz nzuri kwa ajili ya tunning na makorokoro mengine kama turbo charging sijui. Gari inakuwa na nguvu sana
Mbona povu sana dada.cc2990 ni ghali kuihudumia mafuta!?.. Brevis haili mafuta wala nini, umasikini wenu tu kupenda vitu vikubwa msivyoweza!!..
kuna Vitz zina cc990/950 nunueni!!...
Watu wanauza Brevis kutokana na kusitishwa utengezwaji wake, ya mwisho ni 2005 nadhani. Wakati huo kuna mizigo mipya kama Clown athlete, Nissan Fuga, Subaru Imprezza na Legacy unadhani watabakia kwenye Brevis zinazokuwa outdated!.. Leo hii Toyota warudishe production uone matokeo!.
2500cc ya wajukuu wa Hitler unailinganisha na ya kina Akihito???Hahahah watu wanaongea tu, majority ya ma Don hapa town wanapush vyombo vya cc2500-5000 na walalahoi wengi wanaminyana kwenye juisi za miwa humo cc990-1800. Mwisho wa siku kila mtu na upenzi wake, mie niko radhi niende sheli mara kwa mara ila mchuma nao push uwe na mashine ya 6 cylinder inayounguruma kama simba.
Angalia Touareg, Audi suv, benz, bmw, harrier,kluger, crown, mark x ,brevis, mark 2 na VX V8 zilivyo nyingi hapa town wote wanacheza humo kwenye cc2500-5000. Walalahoi ndio wapiga kelele