Yap, 4GR nyepesi na hata kwa size 4GR ni ndogo ila perfomance ni nzuri kuliko JZ kwenye fuel economy. Ila naskia 4GR huwezi kui tune kuweka ma turbo sijui na makorokoro mengine ya aina hio. Sina hakika kama ni kweli ila wazee wa TRD ndio wanasema hilo Jz ndio zinafaaIla ni engine nzito sana yani tofauti na 4GR
Hahaha si ziko kwa vipimo boss kazi, unafikiri kusema cc2500 wanajipangia tu. Tofauti inakuja kwenye technology ya uchomaji mafuta na gearbox. Hapo wajukuu wa hitler ndipo napowakubali. Their cars are really fast.2500cc ya wajukuu wa Hitler unailinganisha na ya kina Akihito???
1JZ-GTE hatari fayaaaaa.Hahaha wale wapenda fujo sindio wanasemaga 1Jz nzuri kwa ajili ya tunning na makorokoro mengine kama turbo charging sijui. Gari inakuwa na nguvu sana
Nadhani tumeelewana na tunaweza kuzungumza lugha moja.Hahaha si ziko kwa vipimo boss kazi, unafikiri kusema cc2500 wanajipangia tu. Tofauti inakuja kwenye technology ya uchomaji mafuta na gearbox. Hapo wajukuu wa hitler ndipo napowakubali. Their cars are really fast.
Ukiikuta kwenye gx110 imesukwa na ma turbo utaipenda. Inapepea kama karatasi1JZ-GTE hatari fayaaaaa.
Hata gx 80,81,90,100 zote bado wagumu wako nazo road.Hakuna gari ya namna hiyo itakayotengenezwa kuzidi Mark 2 grande ndio maana mpaka namba A zipo zinasumbua
Zipo fuel efficient sanaNadhani tumeelewana na tunaweza kuzungumza lugha moja.
Maana naona watu wanadeal na CC tu bila kujua technology iliyopo ndani yake.....
So ishu ya kutumia mafuta mengi kumbe tatizo sio CC tatizo ni teknolojia ya kina Akihito kua bado sana mana kuna jamaa apo juu katoa povu watu wachukue CC900 akisahau kua mafuta ya CC900 mjapan ni karibu sawa na >>1500 ya Hilter.
Kuna muhuni ana gx81 anakatizaga nayo kitaa ni shida. Unaiskia ile 1Jz stock inavyovuma af li manual sasa.Hata gx 80,81,90,100 zote bado wagumu wako nazo road.
Mostly hummer zilizoko road ni hizi za cc 3500,5 clyinders.Hammer ina cc 6000, Halafu hizi brevis mbona zipo kibao town? Au wew ni msemaji wa mifuko ya wanaume wenzako. be specific
Kwa hasira hizi,utakua unaendesha passo/nissan march etcHata wanawake wazuri watabaki ni kwaajili ya wanaume tu. Wabaya watachukuliwa na wengine. Stupid threader
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiikuta kwenye gx110 imesukwa na ma turbo utaipenda. Inapepea kama karatasi
Hahah huyo ukiiponda 1JZ hawezi kukuelewa kabisa,ila haya madude ya ki-old hua yana hamasa yake kinoma.Kuna muhuni ana gx81 anakatizaga nayo kitaa ni shida. Unaiskia ile 1Jz stock inavyovuma af li manual sasa.
Unaendesha gari gani sasa mkuu.Brevis ni gari ambayo sijawaikuikubali kabisa
Nitaendesha gari zote lakini sio hyo gari
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naendesha gari ila sio brevisUnaendesha gari gani sasa mkuu.
Sawa mkuu nilitaka kujua tu kama unaendesha gari au unaendesha usafiri.
Mkuu usafiri unaendeshwaje?Sawa mkuu nilitaka kujua tu kama unaendesha gari au unaendesha usafiri.
Hio si ishapigwa makila kinga. Nmeiona hio beforward nadhani. Ina ma spoiler kama yote ma kit kibao. Yani ikitua town tu unatafta wenye visubaru kuwatoa upepo!Hahah niliwahi kua na celica ila yenyewe ilikua 1Jz-GE ila nadhani ningefanya swap kwa 1Jz-GTE ingekua makida zaidi.
Nikiokotaga hela naitamani aristo yenye 2Jz-GTE manina.
Kuna tourer-V Jzx100 inauzwa huko be forward CIF yake tu $15,862 ukija jumlisha na TRA unaweza kujuta ila hua naiangalia kila mara afu nasema tu hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii