rajabkisauti
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 566
- 316
Kwa sifa, almost zote ziko sawa ila mark x ni bora zaidi kwa perfomance zaidi ya brevis na ndio maana hadi leo bado inatengenezwa!Nataka ninunue gari moja tajwa hapo mwezi wa ujao mungu akipenda.
Naombeni ushauri kuhusu hizo gari ipi ninunue..
NB:sihitaji gari aina nyengine zaidi ya hizo tajwa hapo juu.
WATAALAM NISAIDIENI KWENYE UCHAGUZI WA GARI[emoji41]
Mkuu, nataka harrier hybrid, naomba unipe specification zake na gharamaKwa sifa, almost zote ziko sawa ila mark x ni bora zaidi kwa perfomance zaidi ya brevis na ndio maana hadi leo bado inatengenezwa!
Japo brevis sio mbaya, nayo ni nzuri pia, ila kwenye perfomance mark x ndio iko vizuri zaidi.
Na hata kimuonekano na hadhi, mark x ni nzuri zaidi ya brevis.
Ulaji wa mafuta inategemeana sana na maeneo ulipo pamoja na mwendo wako!
Hata spare upatikanaji wake ni mwingi sana ...
Huo ndio ushauri wangu kwako nikiwa kama muuzaji magari!
Ukiwa tayari, unaweza kunipa Mimi hio order, nikakuletea from japan kwa bei chee kabisa.
Unaweza kupitia hapa, kuona baadhi tu ya gari ninazo uza ...
Kwa mnaohitaji kununua magari - tukutane hapa
Sawa Mkuu pamoja tutatafutanaKwa sifa, almost zote ziko sawa ila mark x ni bora zaidi kwa perfomance zaidi ya brevis na ndio maana hadi leo bado inatengenezwa!
Japo brevis sio mbaya, nayo ni nzuri pia, ila kwenye perfomance mark x ndio iko vizuri zaidi.
Na hata kimuonekano na hadhi, mark x ni nzuri zaidi ya brevis.
Ulaji wa mafuta inategemeana sana na maeneo ulipo pamoja na mwendo wako!
Hata spare upatikanaji wake ni mwingi sana ...
Huo ndio ushauri wangu kwako nikiwa kama muuzaji magari!
Ukiwa tayari, unaweza kunipa Mimi hio order, nikakuletea from japan kwa bei chee kabisa.
Unaweza kupitia hapa, kuona baadhi tu ya gari ninazo uza ...
Kwa mnaohitaji kununua magari - tukutane hapa
Ulaji wa mafuta ipi afadhali katika brevis na mark x >2007Mark x ni nzuri zaidi na ni new model.
Kwanza hongera sana kwa kuwa na uwezo wa kununua gari haswa wakati huu wa uchumi wa mwendokasi. Nimesoma ushauri wa watu wengi humu nafikiri wengi wapo sawa kabisa. Brevis ni platform ya zamani na walishaacha kuzitengeneza kwa hiyo ni bora uende na mark x. Na kwa kuwa Mark X zilianza tengenezwa 2004,huwa ni vizuri kutonunua model ya mwaka wa kwanza maana huwa hakuna feedback. Kwa hiyo watengeneza magari huwa wanarekebisha sehemu ambazo zimelalamikiwa zilizopo kwenye model ya mwaka wa kwanza. Kwa hiyo ni vizuri sana ukanunua za kuanzia nafikri 2007 na kuendelea.Ulaji wa mafuta ipi afadhali katika brevis na mark x >2007