Na mimi nakazia,used from Singapore na Dubai kuwa nazo makini,nunua used from Japan tu ndio hawana longolongoUkiwa na pesa kila gari zuri huwezi shindwa hudumia. Hiyo gari from Singapole kaa nazo mbali kama ukoma
Ukiwa na pesa kila gari zuri huwezi shindwa hudumia. Hiyo gari from Singapole kaa nazo mbali kama ukoma
Kwamba hapa shida ni from Singapore pekee ukiipata from Japan no shida.Na mimi nakazia,used from Singapore na Dubai kuwa nazo makini,nunua used from Japan tu ndio hawana longolongo
Nakazia zaidi zaidi. Kwa Bongo, utakuta nyingi number plate yake ni zile ndefu, yaani T123AAA inakaa mstari mmoja.Na mimi nakazia,used from Singapore na Dubai kuwa nazo makini,nunua used from Japan tu ndio hawana longolongo
Nakazia zaidi zaidi. Kwa Bongo, utakuta nyingi number plate yake ni zile ndefu, yaani T123AAA inakaa mstari mmoja.
Analipa abiria wa mwendokasi au?Mkuu usinunue gari saiv maana naskia kuna tozo ya mwendo kasi
Aisee mie naenda BurundiMkuu usinunue gari saiv maana naskia kuna tozo ya mwendo kasi
Singapore shida hadi Japanese makes! Kuna watu wanalia na zile Harrier chogo, jamaa wawili nawajua wamesusa hizo gari.Ukiwa na pesa kila gari zuri huwezi shindwa hudumia. Hiyo gari from Singapole kaa nazo mbali kama ukoma