Mhhh,naionaga kama imekaa kiulaini laini vile na sio ngoma ngumu ingawa kainjini hako ni kavumilivuKAma pesa IPO hata Leo nunua hiyo gari hautajuta.
1NZ engine ni roho ya paka kuanzia ulaji wa mafuta uko poa hata barabara za vumbi halina shida.
hiyo gari inafanana na pro box successed Kwa kila kitu