Plan Radeem King
Senior Member
- Mar 25, 2018
- 198
- 127
Nimejaribu kucheki ktk baadhi ya website but naona nyingi zina 1G vvti, and my best option ni 1G KAVUagiza kabisa Japan mkuu
hata 1G ni poa sana mkuuNimejaribu kucheki ktk baadhi ya website but naona nyingi zina 1G vvti, and my best option ni 1G KAVU
Okay boss, I'll also take that in to the considerationhata 1G ni poa sana mkuu
Mkuu nikiwa ndani ya hii gari najifeel so stable kwa performance yake, ukija kwenye maintenance ndo so cheapHizi gari nazikubali sana. Ni gari ngumu, nyingi utaziona zina namba A B na bado zipo vizuri. Tafuta gx namba A uone zilivyochoka.
Nimejaribu kucheki ktk baadhi ya website but naona nyingi zina 1G vvti, and my best option ni 1G KAVU
Sikuwahi kumiliki gari, but truly nimetokea ku fall in love na hii kitu!
Kikubwa ni stability yake brbrni, kuwa na engine yenye nguvu pia bila kusahau upatikanaji wake wa Spea kwa wingi na bei nafuu.
Swala kinakuja hapa, which one is the best to do?
Kuiagizia Japan ama nitafute hizi zinazo tumika Tanzania?
Natanguliza shukrani View attachment 725163
Boss, unamiliki aina hii ya gari nini?Nice car, na waweza pata Tanzania nzuri tu, sioni sababu ya kuagiza..... na siamini kama utaipata Japan kwa bei rahisi, "OLD IS GOOD" Mi nilitafuta sana mark II au Chaser Box - Japan, ni ghali kuliko IST
Boss, unamiliki aina hii ya gari nini?
tofauti ya 1G VVTI inatumia mafuta kidogo kuliko 1G kavu kuhusu uimara 1G kavu ni imara Zaidi ya vvti nakushauli chukua vvti mimi ninayo ya hivyo sijawahi kujutia chaguo langu hizi gari ndogo tunaangalia bodi engine ikizingua unainunulia tuuNimejaribu kucheki ktk baadhi ya website but naona nyingi zina 1G vvti, and my best option ni 1G KAVU
Mkuu tofauti ya mafuta ya 1g vvti na 1g non vvti nikubwa sana?tofauti ya 1G VVTI inatumia mafuta kidogo kuliko 1G kavu kuhusu uimara 1G kavu ni imara Zaidi ya vvti nakushauli chukua vvti mimi ninayo ya hivyo sijawahi kujutia chaguo langu hizi gari ndogo tunaangalia bodi engine ikizingua unainunulia tuu
utofauti upo tukisafari kilometa 1200 tunatofautiana mafuta ya laki moja maintenance yake ni rahisi tatizo ni overall ndio mafundi zinawasumbua mimi nimekaanayo miaka minne bila kusumbua zingatia service tuu rafiki yangu amekaanayo miaka kumi ndio sasa inaanza kuchoka kumbuka engine yake ni kubwa sana bodi ni dogoMkuu tofauti ya mafuta ya 1g vvti na 1g non vvti nikubwa sana?
Na swala la maintenance ya vvti engine nadhani ipo juu ukilinganisha na KAVU