...umeitunza vizuri bodi naona iko bomba! but tangia Oct 09 hujapata offer tu? hata na hivyo GX80 for 5m nafikiri iko juu......!
Kamanda unajua sasa hivi imepigwa white Cushion; Full Kiyoyozi n.k
Kama hutaki dhambi nipe 4M. Kama ikishindikana nipe hiyo 3.5 M.
Done!
No si Fuel Injection. Ni 4 Cylinnder.
Nipo Offer Kijana wa Kileo.
Fidel . . .
LOL; Unataka ya Mashindano Mkuu?
4 Cylinders ni very economical, you can drive confortably hadi 140 KM/Hour. Simple Mechanics.
Nipe hiyo pesa bandugu!
Superman umenikumbusha hadithi ya Warren Buffet.........hongera kwa kutumia gari muda wote huo!! Na bado unataka kuiuza kwa 5 Mil!!