Ruti utachagua mwenyewe ukinunua au unaweza hata kufugia batadaaah DSM?? Ruti zake wapi Mbagala Posta??
Hivi hizi gari bado zipo sokoni, I mean zinatengenezwa viwandani?
...Mazee likiwa speed breki zake ni za kutafuta mwanangu yanapiga mzinga mbaya. Ila kwa nyomi sio mchezo maana likijaza lile ni sawa na hiace 5!!!DCM a.k.a GOBORE