Toyota duet

Habari wana jamvi
Naomba kufahamu kuhusu Toyota Duet
Inafaa kumiliki kwa sisi wa hali ya chini
Na kama inafaa ina kipi special
Lakini pia kama haifai
Tatizo lake ni lipi?View attachment 1032627


Sent using Jamii Forums mobile app
Habari,

Ni gari nzuri kwakweli zenye gharama ndogo sana kwdnye kuitunza
Ila kwa sasa, niseme fashion yake kwa Tanzania haipo tena!

Gari hii na Toyota Vitz, hazipishani sana, tofauti ni ndogo mno haswa kwenye upande wa bei
Unaweza kuiagiza kutoka be forward kupitia kampuni yetu (Semsella ENTERPRISES)
Uwe kuilipia kwa awamu awamu ya hadi miezi 7


Semsella Enterprises/ecarstanzania
P.o.box 63178, Dar es salaam
Shekilango, nhc plot number 242
Block number 1,1F
Call/text/Whatsapp text us 24/7
+255745229947
 
Labda kama ni gari la kwanza, ila mara mia ujichange ununue IST. Kama ni parefu basi VITZ anagalau. Hiki niliwahi kukipanda, hata kwenye lami utahisi uko rough road 😁😁
😁😁😁😁😁😁
 
tule tugari tuna sura mbaya utafikiri mdudu....
Toyota wapo vizuri ispokuwa kwenye hiyo timu yao ya mainjinia kitu wamekikosa ni exterior na interior designers......
**** magari mengine wanaunda utafikiri toy za watoto....embu tizama toyota porte, willy, na hiyo duet.....

Japan kampuni wanazojitahidi kwa body designing angalau Mazda na Mitsubishi....gari zao zinamuonekano wa magari halisi sema tu vile spea taabu[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kweli kimetoka Toyota? Mie nahisi ni ki Daihatsu tu kile kimebandikwa nembo. Maana ndio tu gari twao huto.
 
Gari zuri kwa watu wenye kipato cha chini.
Wengi wenye lugha za dharau hawaja wahimiliki gari,wasikutishe,zaidi ya kuendesha magari ya shemeji zao.
 
Achana kabisa na hiyo gari. Usije shangaa siku ya kwanza kabisa unaanza kuitembelea kikazima na kulazimika kuita break down. Mimi ni mhanga wa hicho. Sikutaka hata kumuuzia mtu nilikigawa bure sikutaka kumuingiza mtu kwenye matatizo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mbadala wake? Kwa mtu mwenye bajeti finyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…