Feliciansanyenge
Member
- Sep 8, 2013
- 23
- 11
Umesoma vizuri bandiko lake?Toyota Fielder itakufaa zaidi.
Asanteni sana kwa maoni yenu1.8l itachanganya haraka kuliko 1.5l. Kwa hali ya kawaida, 1.5l itatumia mafuta vizuri, lakini kwenye highway, kama unataka kufika haraka, 1.8l itatumia vizuri kwa uwiano wa muda na mafuta.
NB. Ukisema 1.5 au 1.8 inakuwa ni lita, sio cc.
Mdau ulishanunua au?As
Asanteni sana kwa maoni yenu
Jamaa ni mzoefu wa kumiliki gari alafu anauliza kati ya gari la 1.5L and 1.8L ya same model lipi linakula mafuta kidogo zaidi π π πMdau ulishanunua au?
πππππππππJamaa ni mzoefu wa kumiliki gari alafu anauliza kati ya gari la 1.5L and 1.8L ya same model lipi linakula mafuta kidogo zaidi π π π