Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,084
Ford inavutia sana kuiona nilishaiona hapa mjini ina command respect,ila mimi ningechagua Tundra.Kuna nyingine inaitwa Toyota Tundra nayo ni ya kibabe sana inapambana na Ford F-150,Dodge Ram. Hizi Tundra na Tacoma zipo soko la America.
Sasa kwanini wamarekani nao wameshindwa ku copy reliability kutoka kwa wajapani?Wajapani kwa kucopy wamarekani kwenye magari hawajambo. Toyota FJ Cruiser wamecopy mulemule Hummer na Jeep
Jua pia GM wana kiwanda chao china.Buick, Chevrolet na Cadillac zinazalishwa hapo hapo.Binafsi japo sina hela ya maana ila napenda sana American Cars. Nikiona zile Ford pana pana hivi, mara Escalade au zile Chevs nazipenda sana. Kwa nini hazipo nyingi hapa kwetu Tanzania? Japan ni karibu sana na China na pia magari yao sio ghari sana ila China ni kama wana obsession ya American Cars! Kwa nini? Je magari ya Kimarekani ni bora zaidi na kama ni hivyo kwa nini sisi hatuyaagizi? Au hakuna USED kule?
Hata Thailand yako mengi sana aisee.Toyota wana kiwanda chao pale.Hii fortuner si ya india mkuu!
Maana navyoelewa ni kuwa ilianza kutengenezwa mwaka 2009 india na Toyota Kirloskar Motors.
Hizo gari mbona hazifanani kabisa?Wajapani kwa kucopy wamarekani kwenye magari hawajambo. Toyota FJ Cruiser wamecopy mulemule Hummer na Jeep
Fuel is very cheap in US.Jua pia GM wana kiwanda chao china.Buick, Chevrolet na Cadillac zinazalishwa hapo hapo.
Magari ya kimarekani shida yake ni reliability tu,hapo ndipo kwny utata sana lkn pia magari yao mengi yana engine kubwa kubwa yaani huko V8 ni kawaida tu ingawa sasa hivi wamejitahidi kuanza kutengeneza gari zenye engine za saizi ya kati afu wanazipiga turbo/super chager.
Nakubali mkuu igawa naonaga kwny bei hatupishani nao kiviile,per gallon kwa sasa wanalipa $2.597 so per lita ni 0.67 kama Tsh. 1600/litre .Fuel is very cheap in US.
Ndo maana ni rahisi kuona gari ya CC 6000.
Engines za gari za US hazipo efficient. Gari V8 ina ina hp 300 wakati EU wana gazi za CC 2000 inakupa 400 hp.
Huzijui labda mkuu hebu googleHizo gari mbona hazifanani kabisa?
Unaniuliza mimi mkuu? Mbona kama debate? Nilifikiri tunachangia hoja tuSasa kwanini wamarekani nao wameshindwa ku copy reliability kutoka kwa wajapani?
Sawa mkuu.Unaniuliza mimi mkuu? Mbona kama debate? Nilifikiri tunachangia hoja tu
Kumbuka wao kipato kwa mtu wa kawaida ni kikubwa sana kukilo sisi.Nakubali mkuu igawa naonaga kwny bei hatupishani nao kiviile,per gallon kwa sasa wanalipa $2.597 so per lita ni 0.67 kama Tsh. 1600/litre .
Nadhani ndio maana na wao kwa sasa wameona wajaze hizo super/turbo charger kwa wingi,ingawa mi napendelea natural aspirated engine maana turbo ile lagging hua inanizingua.
Turbo napenda isiwe ya matumizi ya kila siku,iwe for funny tu.
V8 inayotoa Hp 300 hua iko very very smooth barabarani wkt gari yenye cc 2000 inayotoa hp 400 hua haiko smooth kama hio V8 barabarani
Uko sawa kabisa mkuu.Kumbuka wao kipato kwa mtu wa kawaida ni kikubwa sana kukilo sisi.
Wao mwaka mzima mtu anaingiza hata $50,000 kutoka $150 ya mafuta kwa mwezi si sawa na sisi huku bongo mwaka mzima mtu anaiingiza $8,000 kutoa $150 ya mafuta kwa mwezi ni hatari sana.
Kati ya magari ambayo toyota walitengeneza yakatengenezeka ni fortuner, hii model ya 2018 imekuja na design nzr sana kwa njeKutoka hapa nilipo mpaka Ban-pho katikati mwa nchi ya Thailand ni kilometa 7191, Mbali kwelikweli.
Inaitwa Toyota Fortuner mid-size SUV mpango kazi wa kimarekani uliotekelezwa na Wajapan katikati ya viunga vya Ban-pho Thailand.
Akili inantuma kuamini kuwa Wajapani walitumia Mayakuza kuiba mbinu madhubuti za Mmarekani.Ukikutana na majasusi wa CIA huenda wakawa na siri niliyonayo mimi. Wapima vinasaba vya magari wanaweza wakawa na file lenye ukweli wa wapi ni asili ya Fortuner.
Ni bahati kufananishwa na Jeep Renegade, inatokea mara chache sana kufananishwa na Chevrolet Blazer. Awakukosea kuliita Fortuner wakimaanisha kitu chenye bahati.
Tegemea kukutana na Silver accents with wood like finish ukifungua macho yako mbele ya Fortuner. Hamna haja ya kuhubiri uwezo wa Fortuner. Ila andaa lita 80 za mafuta kujaza full tank gari hili.
Mimi bado naliita "The Godfather of the Road" ina nguruma kama simba mzee ikiwa Kwenye rami, ina engine ya diesel madhubuti CC 2982 na turbocharge kama ofa, kwanini iteseke sasa . Haitetemeki wala kuyumba hata ikiwa Kwenye speed ya 130Kmh. Ina sifa za kiasili za Kimarekani.
Kimo cha mjapan wa wastani ni futi 5 tu. Wao na Fortuner wapi na wapi[emoji3]. Maajabu ya Fortuner yanaelezwa mpaka Manhattan Newyork, Sitaki kukusimulia sana, maelezo utapewa pale Lumumba mtaa wenye madalali wakongwe, andaa peni na karatasi tu.
BRAVO! Toyota Fortuner Nabii wa Kijapan Aliyekubarika Dunia nzima. Ila bado najiuliza Fortuner kwenu ni wapi?[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Zile tail-lights ni mashallahKati ya magari ambayo toyota walitengeneza yakatengenezeka ni fortuner, hii model ya 2018 imekuja na design nzr sana kwa nje
Used yake ni bei ghali halafu tabu ingine yana ma Engine makubwa kubwa tu😅!Binafsi japo sina hela ya maana ila napenda sana American Cars. Nikiona zile Ford pana pana hivi, mara Escalade au zile Chevs nazipenda sana. Kwa nini hazipo nyingi hapa kwetu Tanzania? Japan ni karibu sana na China na pia magari yao sio ghari sana ila China ni kama wana obsession ya American Cars! Kwa nini? Je magari ya Kimarekani ni bora zaidi na kama ni hivyo kwa nini sisi hatuyaagizi? Au hakuna USED kule?