Car4Sale Toyota Harier inauzwa Tsh. milioni 21.5

Car4Sale Toyota Harier inauzwa Tsh. milioni 21.5

mfetere

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2014
Posts
251
Reaction score
94
Habari,

  • Nauza Harier yangu mil 21.5 ni 2wd,
  • CC 2390 vvti engine ndogo,
  • Dashboard iko vizuri haijakatika,
  • Engine ni kavu kabisa
  • Gari ipo Dar es Salaam
  • Contact 0714787795

    IMG_3626.jpg

IMG_3625.jpg


IMG_3626.jpg

IMG_3628.jpg

IMG_3624.jpg

IMG_3623.jpg

IMG_3627.jpg

IMG_3631.jpg

IMG_3632.jpg

IMG_3633.jpg
 
Dah,we jamaa mineno yako kuntu.😄😄
Japo bei iko juu kwa 2nd hand car ila gari iko in fair condition kabisa, sio unanua gari 2nd hand halafu unajikuta eti unatakiwa utumie 3M kuifanyia conditioning au hapo hapo unaanza kuhangaika na mafundi kuifanyia ukarabati. Hilo hapana kwa kweli!

Gari raha ununue body imenyooka haina vipengele kabisa yani utembelee baada hata ya 6 -8 months huko ndo uanze sasa mpango wa kugusagusa kidogo aidha vibush bush kubadili au plugs!

Bei irekebishwe atleast iwe 16-17M inakuwa fair kama gari inauzwa na mwenye gari!
 
Japo bei iko juu kwa 2nd hand car ila gari iko in fair condition kabisa, sio unanua gari 2nd hand halafu unajikuta eti unatakiwa utumie 3M kuifanyia conditioning au hapo hapo unaanza kuhangaika na mafundi kuifanyia ukarabati. Hilo hapana kwa kweli!

Gari raha ununue body imenyooka haina vipengele kabisa yani utembelee baada hata ya 6 -8 months huko ndo uanze sasa mpango wa kugusagusa kidogo aidha vibush bush kubadili au plugs!

Bei irekebishwe atleast iwe 16-17M inakuwa fair kama gari inauzwa na mwenye gari!
Madalali ttzo shehe, Kuna Gari flan namjua mwenyew anataka 6mil tu Jana nimekutana nayo kwenye mtandao dalali kaweka 8.2mil hadi nkashangaa sana
 
Madalali ttzo shehe, Kuna Gari flan namjua mwenyew anataka 6mil tu Jana nimekutana nayo kwenye mtandao dalali kaweka 8.2mil hadi nkashangaa sana
Hahahahah dalali anataka ale 2m kwa ubua tu!
 
Comment zimejaa wapambe ..[emoji23] wapambe nuksi saaana
 
Madalali ttzo shehe, Kuna Gari flan namjua mwenyew anataka 6mil tu Jana nimekutana nayo kwenye mtandao dalali kaweka 8.2mil hadi nkashangaa sana
niunganishe nae nimsaidie kuuza
 
Back
Top Bottom