Poleni wakuu kwa kuliponda Nissan 2.8 kiasi flani. Actually, nilimaanisha it's not a gud idea kwenda na 2.8 barabara mbovu maana halita stahimili kwa muda mrefu.
Poleni wakuu kwa kuliponda Nissan 2.8 kiasi flani. Actually, nilimaanisha it's not a gud idea kwenda na 2.8 barabara mbovu maana halita stahimili kwa muda mrefu.
Ok Mkuu nimekuelewa sasa. Ila hizo Hilux nazijua sana na binafsi naona bei ni poa sana. Kila na heri na atakeye nunua kwa kweli atakuwa amepata STEEL!!