Car4Sale Toyota Hilux ya ukweli>>>

Mwamba028

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2013
Posts
4,595
Reaction score
3,670
Wakuu kwa wale wanaopenda gari ngumu na zinazodumu muda mrefu basi hii Toyota Hilux ndo inawafaa

Gari ni namba A
Bodi na Engine viko vizuri sana
Ulaji wa mafuta ni wa kawaida,km 10/lita
Aina ya injini ni 3Y
Gari iko Kimara Dsm kwa atakaehitaji kuiona

Bei ni Milioni 20 (Maongezi yapo)

Mawasiliano: 0686300352

Karibuni sana.

 
gari bado ipo mdau hajafika bei
 
Tatizo nyie madalali ndo mnafanya biashara za watu zikwame unaweza kuta mwenye mali kasema ni 12m wew unapeleka mpaka 20m utasubiri sana
 
Tatizo nyie madalali ndo mnafanya biashara za watu zikwame unaweza kuta mwenye mali kasema ni 12m wew unapeleka mpaka 20m utasubiri sana
km umeielewa we fika bei tu mkuu,,ndo maana ya maongezi kuwepo na ndo biashara

afterall mi sio dalali.
 
ww unaeza kuinunua kwa sh ngapi hyo mkuu?? kumbuka injini iko gado sanaa!
Chukua bei uliyonunulia wewe, iweke kwenye dola kwa rate ya kipindi hicho. Then ukishapata hela katika dola, toa depreciation/ uchakavu asilimia hamsini. Bei utakayopata katika dola ibadilishe kwa bei ya sasa ya shilingi, ndio utakuwa umepata thamani halisi ya mali yako...
 
chombo bado inawasubiri wadau
 
mbona kama unakimbizwa kuandika elezea vizuri leta nyama za kueleweka.. je vibali vimelipiwa vyote? na je imetembea km ngapi? tulia andika vizuri. chukua mil 10 fasts.
 
mbona kama unakimbizwa kuandika elezea vizuri leta nyama za kueleweka.. je vibali vimelipiwa vyote? na je imetembea km ngapi? tulia andika vizuri. chukua mil 10 fasts.
nakimbizana mkuu kibwenzi,, mil 10 uko mbali sanaa! vibali bado viko valid,,kuhusu kutembea km ngap ntakupa jb mkuu kibwenzi
 
Mkuu mbona stickers zinasema 2.4L au mlibadili injini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…