Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
- Thread starter
-
- #41
Unaijua Aqua Mzee? Hiyo ya miaka 20+ labda uzungumzie IST old model.Kwa uzoefu wangu,hayo magari yenye miaka 20+ hata fuel consumption litakayokupa haiendani na unachokusoma online,hizo takwimu ni za magari mapya!!
NB:Ni raha sana kuendesha gari ambalo ni chaguo lako mwenyewe.
Betri kufa hadi baada ya miaka 10+Aqua ikifa betri unajua bei gn service yake unaijua hayo magari bado sana kwa bongo hata mafundi wapo wachache na bei juu achukue tu ist aweke gesi mchezo imeisha kwenye uber bolt
Ground clearance ya aqua ipo chini kulinganisha na IST. Kwa barabara zenye mashimo na miinuko ya hapa na pale itakuwa inagonga sana chini.Kuna Barabara gani Dar ambayo Toyota Aqua inashindwa kupita?
Madereva wa Uber route zao ni maeneo ambayo yapo vizuri kidogo kimiundombinu, mara chache sana dereva wa Uber akaenda Mvuti au Bonyokwa mabondeni. Chukua Aqua ni fuel efficient haina haja ya kufunga gesi na maintenance yake ni cheap piaGround clearance ya aqua ipo chini kulinganisha na IST. Kwa barabara zenye mashimo na miinuko ya hapa na pale itakuwa inagonga sana chini.
Barabara zipo nyingi sana ambazo ni mbovu kwa Dar es salaam.
Shukran mkuu.Madereva wa Uber route zao ni maeneo ambayo yapo vizuri kidogo kimiundombinu, mara chache sana dereva wa Uber akaenda Mvuti au Bonyokwa mabondeni. Chukua Aqua ni fuel efficient haina haja ya kufunga gesi na maintenance yake ni cheap pia
Msimpe gari huyo dogo....hiyo hela...mnunulieni shamba...ajenge kijumba kidogo...alime bustani,,afuge...gari aje kununua kwa pesa yake mwenyeweHabari wakuu,
Kuna huyu mdogo wetu kitaani hapa amemaliza chuo miaka kadhaa iliyopita ila yupo home Hana mishe za kueleweka. Sasa Mzee kastaafu na ameshachukua kiinua mgongo. Dogo amemwomba Mzee anunue gari ili awe anapiga mishe za taxi mtandao(Uber,bolt nk).
Chaguo lake yeye lilikuwa ni Toyota IST,lakini Mimi nikamshauri achukue toyota Aqua maana ni hybrid car Ina ulaji mzuri wa mafuta inaenda hadi 30km/h hivyo kwa Biashara ya taxi itakuwa nzuri kuliko IST.
Hilo lilikuwa pendekezo langu Mimi.
Ila yeye akaja na hoja kadhaa ambazo ni kama amenichallenji nimeshindwa kutetea hoja yangu.
Hoja zake anasema;
1.Aqua imekaa kimayai haiwezi kuhimili shida na routes za off-road kulinganisha na IST. IST anazikalisha gari nyingi mdogo kwenye hili ikiwemo na hii gari yangu niliyoipendekeza. Anasema IST gari ngumu haiwahi kuchakaa hasa ukizingatia itakuwa inapiga kazi karibia Kila siku,hivyo akaikataa gari Aqua katika hili.
2. Ground clearance.
Anasema Aqua ipo chini sana kulinganisha na IST,hivyo anaiona ni gari ya kwenye lami pekee. Akaniuliza vipi nikipata wateja wa bonyokwa na maji matitu niwakatae?
Kwa kifupi dogo ameikataa kabisa aqua na kung’ang’ania IST ingawa kwa hoja zake bado Mimi nilikuwa napendekeza aqua maana ni latest kuliko hiyo IST ya 2001.
Nimeona niletee humu ili kupata maoni tofauti kutoka kwa wajuzi na wataalamu wa magari,maana Mimi siyo mjuzi wa hilo eneo,japo nimempa ushauri dogo.
📌📌📌Point ya msingi,sekondari mpaka chuo kikuu!!!Aqua ikifa betri unajua bei gn service yake unaijua hayo magari bado sana kwa bongo hata mafundi wapo wachache na bei juu achukue tu ist aweke gesi mchezo imeisha kwenye uber bolt
Unaweza kuta ada alikuwa analipa milioni 2 kwa mwaka form 1 hadi 6Wakati hiyo kazi angeiwexa kuifanya ata angeishia darasa la saba what a wastage of time en money