Biashara ya kondoo ni mkia. Huko reception tuwaachie wadada . Itakuwa ilikuwa headcollision
hahahhahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kuna watu pasua vichwa kweli mkuu!
Ukiona hivyo ujue jamaa anaringishia chura ya gari lake
Hiyo gari imepigwa picha za nyuma tu za mbele zipo wapi,
Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE
Naona hata wewe umepiga picha za nyuma tu. Za mbele naomba unitumie PM.
Aisee!Yeye ndo alinipa hela nikaenda kununua