Toyota lancruiser prado inauzwa

Toyota lancruiser prado inauzwa

Kitomai

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2009
Posts
1,074
Reaction score
308
1997 model, milango mitano, automatic. 1kz diezel engine, 2980cc, 60333km, bei usd 25500
 

Attachments

  • PIC01012.JPG
    PIC01012.JPG
    56.6 KB · Views: 91
  • PIC01013.JPG
    PIC01013.JPG
    44.2 KB · Views: 78
  • PIC01014.JPG
    PIC01014.JPG
    39.2 KB · Views: 72
  • PIC01015.JPG
    PIC01015.JPG
    43.6 KB · Views: 73
kuna walakini kwenye hizo km
12yrs 60333km
samahani lakini kitomai mbona kila kitu unachoouza ni bei mbaya sana
 
tanzania magari hayauziki saizi na nyumba hazipangiki...kwasababu ya upuuuzi huuu wa kuweka bei za EPA!!
 
Mkuu, hata mpya (kwa maana ya used haijatumika hapa TZ) bei hiyo haifiki, tena kwa hela za madafu! sembuse hii registration ya AMQ?
 
Last edited:
hupo sahihi kwa mtazamo wako




Hapana mimi namuunga mkono kuwa yupo sahihi, the car is over expensive. Fungua hapa chini angalia hizo prado bei yake huko japan na unapewa kitu kizuri hakina tatizo kimeshakaguliwa na JAAI,

http://www.autorec.co.jp/used-cars-list.php?post_category=3&Login=africa3

User : africa3
Psw: 860971

Fungua hiyo web check bei yako sawa na kununua Prado mbili.

Cost ya kulikomboa hapa Dar max. ni 50% ya uliyonunulia na kulifikisha Dar.

Mfano kuna hiyo Prado ya 1997 diesel, inauzwa 10.800 USD, sana sana max utalipa USD 5000 kukomboa Dar, which will cost you 15,000USD Only. Sasa nikikomboa nakuuza 18,000 USD sijapata faida?? kwanini niuze 25,000 USD????!!! wizi mtupu Dar
 
Hapana mimi namuunga mkono kuwa yupo sahihi, the car is over expensive. Fungua hapa chini angalia hizo prado bei yake huko japan na unapewa kitu kizuri hakina tatizo kimeshakaguliwa na JAAI,

http://www.autorec.co.jp/used-cars-list.php?post_category=3&Login=africa3

User : africa3
Psw: 860971

Fungua hiyo web check bei yako sawa na kununua Prado mbili.

Cost ya kulikomboa hapa Dar max. ni 50% ya uliyonunulia na kulifikisha Dar.

Mfano kuna hiyo Prado ya 1997 diesel, inauzwa 10.800 USD, sana sana max utalipa USD 5000 kukomboa Dar, which will cost you 15,000USD Only. Sasa nikikomboa nakuuza 18,000 USD sijapata faida?? kwanini niuze 25,000 USD????!!! wizi mtupu Dar

Naona hapa umechapia mkuu. Prado ya mwaka 1997 utalipa kodi zifuatazo ambazo ni compound.

Import Duty = 25%
VAT = 18%
Excise Duty (engine > 3,000 c.c) = 10%
Dumping fee (gari > 10 years) = 20%

Hii inakupa 94.7% ya CIF value ya gari kama kodi ambayo ni $10,227.60. Jumla ni $22,227.60!!! Angalia utaiacha gari bandarini🙂
 
Back
Top Bottom