Bila shaka tutakuwa nazo zikitoka tu......
295hp inakimbia hivyo.Will produce 220kW=295 HP
Sijui ni kwanini Toyota mpk leo hawapendagi ma HP makubwa makubwa,maana kama ni ile 'gentleman agreement' ya mwaka 1989 ya max HP ni 276 ilishakufaga kidizaini.
dodge
asante Mungu,sasa nitatimiza ndoto zanguView attachment 1324842
Release date: August 2020.
Specs:
3.6-liter V6 twin turbo Petrol, Diesel or Hybrid.
Will produce 220kW and 356Nm
Will produce 220kW=295 HP
Sijui ni kwanini Toyota mpk leo hawapendagi ma HP makubwa makubwa,maana kama ni ile 'gentleman agreement' ya mwaka 1989 ya max HP ni 276 ilishakufaga kidizaini.
dodge
Hiyo ilikuwa zamani, siku hizi engine zipo refined (hasa za diesel) na very efficient, unless uwe unafanya racing, ila ukielewa kutumia engine torque vizuri kwa mizunguko ya kawaida utapata fuel returns za kufurahisha hata Kama engine kubwaBigger HP = bigger engine = high fuel consumption
Inabidi ujue soko lako ni lipi na their clever to satisfy it
Sent from my iPhone using JamiiForums
Bigger HP = bigger engine = high fuel consumption
Inabidi ujue soko lako ni lipi na their clever to satisfy it
Sent from my iPhone using JamiiForums
295hp inakimbia hivyo.
Sasa hp 295 au zile 200 series ya diesel yenye 4.5l inatoa 267hp kwenye gari la tani mbil ni ndogo sana....watu wako na hp 450 kwenye body la forester 😀😀
Ikiwekwa 500hp utaitumia wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu ambacho sielewi kwenye power ratings za haya magari madogo ni torque!, Gari Ina 295Hp. halafu torque 350Nm tu,
Kwa horse power hizo engine kubwa ingekuwa na 1000 plus NM za torque
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo series 300 atakuwa kalenga soko la ulaya si Afrika maana kwenye offroad zile tata haitofua dafu.
'Bigger HP = bigger engine = high fuel consumption'
Unaongelea tech. za miaka ipi?
Nikikwambia 2005 mazda rx-8 ina-produce HP 238 wkt ina cc 1300 only na ulaji wake ni 6.5km/l utaamini?
dodge
Angalia na aina ya ingine mzee
Kama gari ina 1300cc af inatumia 7.65kmpl kama average consumption ni shida
Mazda wanatumia rottery engines ambazo ni tofaut
Ila laws za fuel consuption itabaki ileile
View attachment 1325500View attachment 1325501View attachment 1325502
Sent from my iPhone using JamiiForums
Angalia na aina ya ingine mzee
Kama gari ina 1300cc af inatumia 7.65kmpl kama average consumption ni shida
Mazda wanatumia rottery engines ambazo ni tofaut
Ila laws za fuel consuption itabaki ileile
View attachment 1325500View attachment 1325501View attachment 1325502
Sent from my iPhone using JamiiForums