Numero Uno
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 607
- 1,302
Vijana wapo bize na kuchambua ligi za Ulaya
Duh kumbe nako kuna matajiri uchwara kama akina Mwamedi?...Huko ufilipino majuzi jopo la matajir waliamua kuyaendesha mtaani KWA mbwembwe baada ya kuyanunua.View attachment 2026008View attachment 2026008View attachment 2026010View attachment 2026011View attachment 2026012View attachment 2026013View attachment 2026014
Sio body kits tu izo?
hamna gari humo, mjerumani ni mjerumani.. ππππSio body kits tu izo?
Halmashauri wameshaweka order kiasi gani?Zitaanza kuingia KWA wingi bongo mwishoni 2022 kwasabab Toyota imewapiga marufuku wajapani kuuza LC300 zao hadi miezi 12 kupita baada ya kuzinunua. Lakini unaweza kununua kwasasa kutoka Dubai tatizo ni LHD.
Lakini kwaanzia December dealerswataruhusiwa kuzinunua KWA wingi Right hand drive. Australia tayari kuna order za 22000.
RRONDO
Serikali si inanunuaga mapyaaa kabisa na baadhi ya wadau.. hizo used mnaachiwaga nyieZitaanza kuingia KWA wingi bongo mwishoni 2022 kwasabab Toyota imewapiga marufuku wajapani kuuza LC300 zao hadi miezi 12 kupita baada ya kuzinunua. Lakini unaweza kununua kwasasa kutoka Dubai tatizo ni LHD.
Lakini kwaanzia December dealerswataruhusiwa kuzinunua KWA wingi Right hand drive. Australia tayari kuna order za 22000.
RRONDO
Kuna moja ya serikali imepigwa mnada Milioni nane, aliyenunua kaambiwa arudishe na waliohusika wametakiwa kujieleza...Serikali si inanunuaga mapyaaa kabisa na baadhi ya wadau.. hizo used mnaachiwaga nyie
Huko Filipino hawana uhujumu uchumi?Duh kumbe nako kuna matajiri uchwara kama akina Mwamedi?...
Nchi ina wezi wa ajabu ajabu sana, hata kujishtukia mtu dahKuna moja ya serikali imepigwa mnada Milioni nane,aliyenunua kaambiwa arudishe na waliohusika wametakiwa kujieleza...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....! Kweli huo ni utajiri uchwara kabisaDuh kumbe nako kuna matajiri uchwara kama akina Mwamedi?...
Kwaanzia December mwaka huu Ndo dealers wataruhusiwa kununua Right hand drive kwa wingi na ndio hapo serikali nadhan waziingizaSerikali si inanunuaga mapyaaa kabisa na baadhi ya wadau.. hizo used mnaachiwaga nyie
Hili linchi linaweza kukuua kwa pressure. Siku hizi uwizi serikalini unaendelea kwa kasi kubwa,uko ngazi ya PHDKuna moja ya serikali imepigwa mnada Milioni nane,aliyenunua kaambiwa arudishe na waliohusika wametakiwa kujieleza...
we yako unaagiza lini au umetoa special orderKwaanzia December mwaka huu Ndo dealers wataruhusiwa kununua Right hand drive kwa wingi na ndio hapo serikali nadhan waziingiza
Unadaka X5 moja kali sana. Tena ya 2016 tu. Kwa nusu bei. Hafu mkipaki bado unaonekana wewe mjanja. Mwenye LC inaonekana ya Serikali.hamna gari humo, mjerumani ni mjerumani.. ππππ
Tajari aringushie gari tena kwa kujipanga na kupita mitaaani....huyo atakua kama mwamedi tuuHuko Filipino hawana uhujumu uchumi?